Kwa utaratibu wa CCM baada ya samia,2030 huenda mgombea atakuwa Mkristo mkatoliki?

Kwa utaratibu wa CCM baada ya samia,2030 huenda mgombea atakuwa Mkristo mkatoliki?

Kama jibu ndio January Makamba na wzenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa miaka 65+,

Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wapya kabisa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.

Inaumaa saana
Chunga kamdomo , hivi upo uchaguzi umefanyika ccm ,? tuanzie hapa
 
Kama jibu ndio January Makamba na wenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa miaka 65+,

Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wapya kabisa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.

Inaumaa saana
Yaani nani kakuambia nchi ya Tanzania 2030 itakuwaje! Kwa mitandao hii na kizazi hiki bado unafikiria dini hizo ni zilipendwa. Imefika wakati Polisi na usalama ndiyo wanaendesha chaguzi ! Je 2030 si itakuwa jeshi kwa mwendo huu. Bila kubadilisha sheria mapigano ni lazima yatatokea. Tumeona Mbowe kashidwa kwasababu gani huko Chadema wananchi wana amka kweli kweli
 
Kama jibu ndio January Makamba na wenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa miaka 65+,

Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wapya kabisa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.

Inaumaa saana
Anayefuata ni Nchimbi
 
Kama jibu ndio January Makamba na wenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa miaka 65+,

Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wapya kabisa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.

Inaumaa saana
Inamuuna Nani sasa
 
Abdul awe anamtazama tu?? Nae anajifua kurithi kiti bi mkubwa wake oohhh 😹
Abdul yuko low profile hakuna hata anayejua sura yake ikoje,labda ubunge
 
Back
Top Bottom