Kwa utaratibu wa CCM baada ya samia,2030 huenda mgombea atakuwa Mkristo mkatoliki?

Kwa utaratibu wa CCM baada ya samia,2030 huenda mgombea atakuwa Mkristo mkatoliki?

kwanza inafanywa kijanja sana na akili kubwa mno,walisomesha watu wengi na wakawaingiza kwenye siasa wengi mno hivyo ikitokea nafasi yoyote wakatoliki hupata sehemu kubwa hivyo ni rahisi hesabu za yumkini kuwaangukia,kuhusu wanafaidikaje,kumbuka mtoto wao ndio anakuwa kashika nchi
Uko sahihi
 
Msaada tutani, kwanini awe mkatoliki, na hiyo system wakatoliki wanamaslahi nayo yapi?.
Roman Catholic ni serikali ndogo duniani,wana mashule,hospitali na miradi mingi,wana influence sana nchini,kwao ni bora Rais muislam ataogopa kuwagusagusa maana watu watasema sababu ni muislam,ila akiingia mlokole anaweza kuwatikisa,pili wana ubia na serikali kwenye sektahizo za afya na elimu lazima wajilipe fadhila na wawe na muwakilishi wao kulinda madahi yao kiuchumi.
Kuwagusa RC hujitakii mema
 
Kama jibu ndio January Makamba na wenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa miaka 65+,

Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wapya kabisa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.

Inaumaa saana
Samia ndio kwanza anaanza miaka yake mitano so atamaliza rasmi miaka yake 10 (2035) MUNGU akijalia,urais alionao sasa hauko ndani ya ile miaka yake 10.
 
Ni coincidence tu, msije mkagombanisha watu bure
 
Kama jibu ndio January Makamba na wenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa Hmiaka 65+,

Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wapya kabisa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.

Inaumaa saana
Huko 2030 mbona mbali sana,CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.
 
Huenda huyo bibi wa Unguja jina lake lisiwe kwenye ballot hiyo October kuna watu humo Lumumba hayajafurahishwa na kilichotokea na miezi 9 ni mingi.
 
Kama jibu ndio January Makamba na wenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa miaka 65+,

Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wapya kabisa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.

Inaumaa saana
Hoja za kipuuzi, hayo makubaliano yalifanyika wapi, we ulihudhuria huo mkutano?
 
Japo sio katiba lakini kwa wakristo lile baraza la walatoliki hujipanga vizuri mno kuhakikisha kuwa mkristo anayechukua nchi awe mkatoliki na hata muislamu ni yule mwenye mafungamano makubwa na wakatoliki,mfano kassim majaliwa mkewe ni mkatoliki
We upumbavu wako hauna mfano, huoni ht haya?
 
Roman Catholic ni serikali ndogo duniani,wana mashule,hospitali na miradi mingi,wana influence sana nchini,kwao ni bora Rais muislam ataogopa kuwagusagusa maana watu watasema sababu ni muislam,ila akiingia mlokole anaweza kuwatikisa,pili wana ubia na serikali kwenye sektahizo za afya na elimu lazima wajilipe fadhila na wawe na muwakilishi wao kulinda madahi yao kiuchumi.
Kuwagusa RC hujitakii mema
Ni kweli
 
Kama jibu ndio January Makamba na wenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa miaka 65+,

Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wapya kabisa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.

Inaumaa saana
Kwani Tume imefungua dirisha la kampeni??

Samia amefanya kikao na Muumba wa mbingu na Nchi??

Acheni kujitafutia laana
 
January Makamba ni mkatoriki- Mwisilamu- Nusu Kagera nusu Tanga 2030 Makamba atakuwa na miaka 56 kama sio 55. Kama sio Lissu 2025 Basi makamba ndio rais wake 2030. Nausishangae akangombea na Lissu 2025. His nchi ina wenyewe sisi tuendelee kunywa mchuzi.
Mkuu hata ridhiwan kikwete bibi yake aliwai kuwa mkatoliki zamani.
 
Kama jibu ndio January Makamba na wenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa miaka 65+,

Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wapya kabisa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.

Inaumaa saana
awamu ya Samia inaishia 20240
 
Back
Top Bottom