Uko sahihikwanza inafanywa kijanja sana na akili kubwa mno,walisomesha watu wengi na wakawaingiza kwenye siasa wengi mno hivyo ikitokea nafasi yoyote wakatoliki hupata sehemu kubwa hivyo ni rahisi hesabu za yumkini kuwaangukia,kuhusu wanafaidikaje,kumbuka mtoto wao ndio anakuwa kashika nchi
Roman Catholic ni serikali ndogo duniani,wana mashule,hospitali na miradi mingi,wana influence sana nchini,kwao ni bora Rais muislam ataogopa kuwagusagusa maana watu watasema sababu ni muislam,ila akiingia mlokole anaweza kuwatikisa,pili wana ubia na serikali kwenye sektahizo za afya na elimu lazima wajilipe fadhila na wawe na muwakilishi wao kulinda madahi yao kiuchumi.Msaada tutani, kwanini awe mkatoliki, na hiyo system wakatoliki wanamaslahi nayo yapi?.
Samia ndio kwanza anaanza miaka yake mitano so atamaliza rasmi miaka yake 10 (2035) MUNGU akijalia,urais alionao sasa hauko ndani ya ile miaka yake 10.Kama jibu ndio January Makamba na wenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa miaka 65+,
Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wapya kabisa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.
Inaumaa saana
Kwa mada yako anzia 2035Samia ndio kwanza anaanza miaka yake mitano so atamaliza rasmi miaka yake 10 (2035) MUNGU akijalia,urais alionao sasa hauko ndani ya ile miaka yake 10.
Huko 2030 mbona mbali sana,CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.Kama jibu ndio January Makamba na wenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa Hmiaka 65+,
Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wapya kabisa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.
Inaumaa saana
Hoja za kipuuzi, hayo makubaliano yalifanyika wapi, we ulihudhuria huo mkutano?Kama jibu ndio January Makamba na wenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa miaka 65+,
Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wapya kabisa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.
Inaumaa saana
We upumbavu wako hauna mfano, huoni ht haya?Japo sio katiba lakini kwa wakristo lile baraza la walatoliki hujipanga vizuri mno kuhakikisha kuwa mkristo anayechukua nchi awe mkatoliki na hata muislamu ni yule mwenye mafungamano makubwa na wakatoliki,mfano kassim majaliwa mkewe ni mkatoliki
dua la kukuHuko 2030 mbona mbali sana,CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.
hapana,samia kama akishinda 2025 anamaliza 2030Samia ndio kwanza anaanza miaka yake mitano so atamaliza rasmi miaka yake 10 (2035) MUNGU akijalia,urais alionao sasa hauko ndani ya ile miaka yake 10.
jifunze kujibu hoja,nyie ndio mkikuta mkeo kaliwa mnajinyongaWe upumbavu wako hauna mfano, huoni ht haya?
Ni kweliRoman Catholic ni serikali ndogo duniani,wana mashule,hospitali na miradi mingi,wana influence sana nchini,kwao ni bora Rais muislam ataogopa kuwagusagusa maana watu watasema sababu ni muislam,ila akiingia mlokole anaweza kuwatikisa,pili wana ubia na serikali kwenye sektahizo za afya na elimu lazima wajilipe fadhila na wawe na muwakilishi wao kulinda madahi yao kiuchumi.
Kuwagusa RC hujitakii mema
Kwani Tume imefungua dirisha la kampeni??Kama jibu ndio January Makamba na wenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa miaka 65+,
Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wapya kabisa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.
Inaumaa saana
Mbona tayari limeshagalambuka,kidampa kama wewe huwezi kujua.dua la kuku
ok tusubiriMbona tayari limeshagalambuka,kidampa kama wewe huwezi kujua.
Mkuu kwanini umemchukulia Lissu kama one term president !?2025 lisu anachukua nchi ni mkatoliki pia.
2030 John mnyika anachukua nchi ni mkatoliki pia.
Kumbe ndicho yanachojivunia.Kwa katiba hii,hapana
Mkuu hata ridhiwan kikwete bibi yake aliwai kuwa mkatoliki zamani.January Makamba ni mkatoriki- Mwisilamu- Nusu Kagera nusu Tanga 2030 Makamba atakuwa na miaka 56 kama sio 55. Kama sio Lissu 2025 Basi makamba ndio rais wake 2030. Nausishangae akangombea na Lissu 2025. His nchi ina wenyewe sisi tuendelee kunywa mchuzi.
awamu ya Samia inaishia 20240Kama jibu ndio January Makamba na wenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa miaka 65+,
Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wapya kabisa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.
Inaumaa saana