4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Chunga kamdomo , hivi upo uchaguzi umefanyika ccm ,? tuanzie hapaKama jibu ndio January Makamba na wzenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa miaka 65+,
Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wapya kabisa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.
Inaumaa saana
Kwa sababu maalum!Msaada tutani, kwanini awe mkatoliki, na hiyo system wakatoliki wanamaslahi nayo yapi?.
Yaani nani kakuambia nchi ya Tanzania 2030 itakuwaje! Kwa mitandao hii na kizazi hiki bado unafikiria dini hizo ni zilipendwa. Imefika wakati Polisi na usalama ndiyo wanaendesha chaguzi ! Je 2030 si itakuwa jeshi kwa mwendo huu. Bila kubadilisha sheria mapigano ni lazima yatatokea. Tumeona Mbowe kashidwa kwasababu gani huko Chadema wananchi wana amka kweli kweliKama jibu ndio January Makamba na wenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa miaka 65+,
Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wapya kabisa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.
Inaumaa saana
Anayefuata ni NchimbiKama jibu ndio January Makamba na wenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa miaka 65+,
Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wapya kabisa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.
Inaumaa saana
Inamuuna Nani sasaKama jibu ndio January Makamba na wenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa miaka 65+,
Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wapya kabisa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.
Inaumaa saana