Kwa Utashi wangu binafsi, baada ya kuona Chuki zinazidi Kwake na Wahusika wamenyamaza namuombea Msamaha Hayati Rais Magufuli kwa Mapungufu yake

Kwa Utashi wangu binafsi, baada ya kuona Chuki zinazidi Kwake na Wahusika wamenyamaza namuombea Msamaha Hayati Rais Magufuli kwa Mapungufu yake

Sidhani kama huu Upuuzi wenu wa hii Kauli inafaa katika Uzi huu sana sana unaweza kujikuta Unadharaulika tu.

Unaposema ( tena Kuhoji ) kuwa kwani Yeye anasemaje wakati unajua kuwa hatunae tena duniani ( amefariki ) unakuwa unamaanisha nini labda kwa Great Thinkers hapa?

Huwa mnanilazimisha niwajibuni hovyo.
Umemaliza?
 
Kama ulikuwa haujamsamehe ni shida yako tuu. Tangu day one mpaka 21, watanzania tulimlilia kwa kujipiga vifuani kwa kumuomba mwenyezi mungu amasamehe yale yote ambayo alitenda kwa bahati mbaya au makusudi ila kwa lengo la kuinyosha nchi. Kati ya watanzania mil60 na hao wa vijiweni kwako wasiozidi watu50 haina athari hata kwa mwenyezi mungu. Mwenyezi mungu mwenyewe ni Baba wa Vita ana wapigania watu wake, na hata aliruhusu watu wauwawe kwa sababu ya kukiuka matakwa yeke. So, HAYATI JEMEDARI JPM pumzika kwa amani, watz tutazidi kukuombea hadi mwisho wa dahali.
Bwege kweli wewe.
 
Mie kumsamehe bado so mwendelee kuniombea labda nitapata neema ya kusamehe. Si kwamba napenda Ila kila nikifiri kumsamehe naona damu ya binadamu kwenye mchanga. Nyerere mwenyewe ilinichukua miaka kumi kumsamehe. Mie bado sana
 
Mie kumsamehe bado so mwendelee kuniombea labda nitapata neema ya kusamehe. Si kwamba napenda Ila kila nikifiri kumsamehe naona damu ya binadamu kwenye mchanga. Nyerere mwenyewe ilinichukua miaka kumi kumsamehe. Mie bado sana
Ile siku wanakutana viongozi wa dini I think familia yake wangeitumia kuomba msamaha pia just the way Madame President alivyotumia hotuba ya kwanza kuomba msamaha kwa niaba ya mwendazake.

Instead wakamtuma yule bwanyenye akaishia kutoa shukrani tu🤷😏 yani anatushukuru nini?
 
Bwege kweli wewe.
Bwege ni ukoo wako uliyozowea kuishi kwa vitu vya kunyonga, wizi, drug dealer, mkwepa kodi, muombea mabaya viongozi wa nchi, mpiga ramli, na mpinga kristu. Nyumbu wewe nenda kazalie kenya unawashwa washwa wewe
 
Marehemu asemwi vibaya ila jiwe alipokufa watu mioyo yao ilishangilia.

Kufa wote tutakufa ila insue nani anatangulia?

Jiwe kanitesa binafsi ila nishamsamehe muda sana.
Mm sikuile sikulala nilikesha nagonga safari huku natazama luninga. Mpaka leo nikikuta picha yake naichana na kuitupa.
Shetani mkubwa yule magufuli
 
Kwani hayo unayodai kuwa alifanya, aliyafanya kama yeye binafsi au kama Rais wa Tanzania? Urais ni taasisi inayojumuisha timu nzima ya Baraza la Mawaziri na taasisi zote zinazomsaidia Rais kutekeleza majukumu yake. Hivyo yaliyofanyika yaliwahusu wote ambao kimsingi bado wapo madarakani. Mzee Mwinyi alitufundisha dhana ya "Collective Responsibility" ambayo inawajumuisha wote kwenye maamuzi na vitendo vya aliyewateua. Kama hukubaliani na mteuzi wako unapaswa kujiuzulu.
 
Back
Top Bottom