Umemaliza?Sidhani kama huu Upuuzi wenu wa hii Kauli inafaa katika Uzi huu sana sana unaweza kujikuta Unadharaulika tu.
Unaposema ( tena Kuhoji ) kuwa kwani Yeye anasemaje wakati unajua kuwa hatunae tena duniani ( amefariki ) unakuwa unamaanisha nini labda kwa Great Thinkers hapa?
Huwa mnanilazimisha niwajibuni hovyo.
Nilipoanza nilikuambia?Umemaliza?
Bwege kweli wewe.Kama ulikuwa haujamsamehe ni shida yako tuu. Tangu day one mpaka 21, watanzania tulimlilia kwa kujipiga vifuani kwa kumuomba mwenyezi mungu amasamehe yale yote ambayo alitenda kwa bahati mbaya au makusudi ila kwa lengo la kuinyosha nchi. Kati ya watanzania mil60 na hao wa vijiweni kwako wasiozidi watu50 haina athari hata kwa mwenyezi mungu. Mwenyezi mungu mwenyewe ni Baba wa Vita ana wapigania watu wake, na hata aliruhusu watu wauwawe kwa sababu ya kukiuka matakwa yeke. So, HAYATI JEMEDARI JPM pumzika kwa amani, watz tutazidi kukuombea hadi mwisho wa dahali.
Ile siku wanakutana viongozi wa dini I think familia yake wangeitumia kuomba msamaha pia just the way Madame President alivyotumia hotuba ya kwanza kuomba msamaha kwa niaba ya mwendazake.Mie kumsamehe bado so mwendelee kuniombea labda nitapata neema ya kusamehe. Si kwamba napenda Ila kila nikifiri kumsamehe naona damu ya binadamu kwenye mchanga. Nyerere mwenyewe ilinichukua miaka kumi kumsamehe. Mie bado sana
Bwege ni ukoo wako uliyozowea kuishi kwa vitu vya kunyonga, wizi, drug dealer, mkwepa kodi, muombea mabaya viongozi wa nchi, mpiga ramli, na mpinga kristu. Nyumbu wewe nenda kazalie kenya unawashwa washwa weweBwege kweli wewe.
Mm sikuile sikulala nilikesha nagonga safari huku natazama luninga. Mpaka leo nikikuta picha yake naichana na kuitupa.Marehemu asemwi vibaya ila jiwe alipokufa watu mioyo yao ilishangilia.
Kufa wote tutakufa ila insue nani anatangulia?
Jiwe kanitesa binafsi ila nishamsamehe muda sana.