Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
SukumaGang mnapenda kushobokea dyudyu za wanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahehe wana misimamo wakurya cha mtotoSiku mhehe akishika nchi ndio mtajua kwa nini mjerumani alitolewa ulimi nje Kama mbwa na Mkwawa
Kawape hiyo yako ya kike sisterSukumaGang mnapenda kushobokea dyudyu za wanaume
We ni demu wake nini, Mbona unakua mkali
Nchi ya wapenda umbeaDsm inahitaji watu kariba ya kina Chalamila. Jiji lilipoa sana hili.
Nina imani kwa ujio wa Chalamila, sasa taarifa za habari zitaanza kufuatiliwa na watu wengi kuliko ilivyokuwa hapo kabla.
Ninachomwomba Chalamila, ni ajitahidi kuwa yeye na kuusema ukweli pasipo kumwogopa yeyote.
Usiogope kuwapa burudani wana Dsm kwa utani wako, maana hata hivyo hicho ndo kitambulisho cha uongozi wako.
Vinginevyo, nakutakia kila la heri unapokwenda kuanza kazi kwa kufanya "negotiations" na Wakinga wa Kariakoo.
Haaa hakikaSiku mhehe akishika nchi ndio mtajua kwa nini mjerumani alitolewa ulimi nje Kama mbwa na Mkwawa
Ni kweli tunamuona Hakika Ruben muwakilishi wa wahehe alivyo na msimamo wa kutoona aibu ya 🏳️🌈🏳️🌈Wahehe wana misimamo wakurya cha mtoto
Hawa wadau wanamfahamu vzr Mh. Chalamila
Kabisa SisterMagufuli mtupu yaani!
Kabisa MkuuBongo huwa tunapenda tantalila kama hizo for such a long time tulikua ziiiiii na Daslam yetu😂😂😂
Kweli Mkuu.Ninachojifunza ni kwamba, mitandaoni kuna wanafiki na watu wenye I'd nne nne na ndo wanatusumbua kumsgambulia Magufuli!