Kwa uteuzi huu wa RC Chalamila kuja Dar es Salaam, Rais Samia kaupiga mwingi

Nchi ya wapenda umbea
 
Wahehe wana misimamo wakurya cha mtoto
Ni kweli tunamuona Hakika Ruben muwakilishi wa wahehe alivyo na msimamo wa kutoona aibu ya πŸ³οΈβ€πŸŒˆπŸ³οΈβ€πŸŒˆ
 
Ninachojifunza ni kwamba, mitandaoni kuna wanafiki na watu wenye I'd nne nne na ndo wanatusumbua kumsgambulia Magufuli!
Kweli Mkuu.
Inavyoonekana wanaomshambulia Hayati JPM ni kakikundi kadogo sana ka watu, ila kenye nguvu nyingi ya fedha..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…