gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Hakuna mwenye ardhi yake nchi hii, wasukuma bhulyanhulu walitolewa kupisha mwekezaji,watu wamepisha reli, barabara,wamasai watokeHio ni ardhi yao toka enzi za mababu zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mwenye ardhi yake nchi hii, wasukuma bhulyanhulu walitolewa kupisha mwekezaji,watu wamepisha reli, barabara,wamasai watokeHio ni ardhi yao toka enzi za mababu zao.
Wamasai wamekuwepo hapo Ngorongoro kabla wewe hujazaliwa na hakuna uharibifu wamefanya. Wewe kule kwenu kuna hifadhi gani mmeweza kutunza kuliko hao Wamasai?°Nimekuwa nikijiuliza, masai wote hawa ni wakazi wa ngorongoro au wamewaita wenzao kutoka Kenya?
°Kwa wingi huu, je tuna urithi wa kujivunia pale ngorongoro?
°Tuweke siasa pembeni, twende na usalama wa urithi Wetu kwanza!
°Je baada ya miaka 20 tutakuwa na ngorongoro yetu?
-TUTAFAKARI KWA PAMOJA TUAMUE KWA PAMOJA!
[ ] pic fail.
Reserves has been overpopulated, masai ni wengi kuliko wanyama, OK, wacha tupate mji wa ngorongoro!Wamasai wamekuwepo hapo Ngorongoro kabla wewe hujazaliwa na hakuna uharibifu wamefanya. Wewe kule kwenu kuna hifadhi gani mmeweza kutunza kuliko hao Wamasai?
Endapo kama unaakili timamu kichwani, huwezi kukubali wingi ule wa masai uendelee kuishi mahala pale, aidha wapunguzwe, kibaya zoezi hili lilishachelewa mno, hivyo wakati ni sasa, waondoke kwenye ardhi ya wanyama pori!
Ngorongoro ni Conservation area iliyoruhusiwa pia kuwa na wakaazi hasa Wamasai na Wahadzabe na Wadatooga° Nimekuwa nikijiuliza, Masai wote hawa ni wakazi wa ngorongoro au wamewaita wenzao kutoka Kenya?
° Kwa wingi huu, je tuna urithi wa kujivunia pale ngorongoro?
° Tuweke siasa pembeni, twende na usalama wa urithi Wetu kwanza!
° Je, baada ya miaka 20 tutakuwa na ngorongoro yetu?
-TUTAFAKARI KWA PAMOJA TUAMUE KWA PAMOJA!
Kuna watu hawana akili hawastahili hata kushika simu kuandika kitu.We umeangalia watu waliojikusanya ndani ya eneo la uwanja kama wa basketball halafu ulinganishe na eneo kama Dar mara 10?
Halafu kuuza Hifadhi kwa waarabu ndio kulinda urithi?
Wale ni wezi tu.
BADO TUNAIHITAJI NGORONGORO? ndio liwe swali la kila mtu. ngorongoro ni ya kwetu, tunaweza kuamua kuiteketeza au kuihifadhi.° Nimekuwa nikijiuliza, Masai wote hawa ni wakazi wa ngorongoro au wamewaita wenzao kutoka Kenya?
° Kwa wingi huu, je tuna urithi wa kujivunia pale ngorongoro?
° Tuweke siasa pembeni, twende na usalama wa urithi Wetu kwanza!
° Je, baada ya miaka 20 tutakuwa na ngorongoro yetu?
-TUTAFAKARI KWA PAMOJA TUAMUE KWA PAMOJA!
content://com.android.chrome.FileProvider/images/screenshot/1724393575048571690834.jpg
Sidhani kuwa wingi wa Masai ndio sababu ya kuwahamisha kutoka Ngorongoro; sababu kubwa ni Samia kutaka kuwa gawia ndugu zake waarabu maeneo ya Ngorongoro!Endapo kama unaakili timamu kichwani, huwezi kukubali wingi ule wa masai uendelee kuishi mahala pale, aidha wapunguzwe, kibaya zoezi hili lilishachelewa mno, hivyo wakati ni sasa, waondoke kwenye ardhi ya wanyama pori!
Lindi ni kame. Hakuna maji hivyo nyasi ni shida. Labda huelewi lindi. Ukitoka mpakani wa mkoa wa pwani na lindi yaani marendego mpaka mtwara kule mto Ruvuma uneona nyasi na msitu wapi unaofanana na ngorongoro au serengeti? Sana upande wa iringa, songeam mbeya, katavi, sumbawanga na baadhi ya maeneo ya tabora.Wapelekwe lindi mapori ni mengi sana huko.
Hao Masai wengi kwenye picha ni wangapi na eneo husika lina ukubwa gani?Wanyama wewe wengi kuliko masai, au masai wawe wengi kuliko wanyama? 😀
Leta hapa ushahidi wa mwarabuWe umeangalia watu waliojikusanya ndani ya eneo la uwanja kama wa basketball halafu ulinganishe na eneo kama Dar mara 10?
Halafu kuuza Hifadhi kwa waarabu ndio kulinda urithi?
Mi nakubaliana na wewe. Wanasai na wanyama hawawezi kukaa pamoja tukitilia maanani population ya wamasai inaongezeka. Idada ya wamasai Ngorongoro imeingezeka toka 8000 (1959) mpaka 100,000 (1923),First group of Maasai families leave Ngorongoro Game Reserve | Africanews. achilia mbali na ongezeko la mifugo. Hivyo ni wazi kuwa haitawezekana wamasai waendelee kuishi na wanyama hapo porini. Ni rahisi kuwahamisha wamasai ila si rahisi kuwahamisha wanyama.