Kwa uvaaji wa suti kama hii, nani atatupa tuzo?

Kwa uvaaji wa suti kama hii, nani atatupa tuzo?

Na hizi team zisizo hata na viwanja ndo zinetufikixha hapa tulipo tunaenda kwenye mapambano badala ya kuwa wazalendo kuwakilisha taifa watu tunawaza Mimi ni team flani huyu ni team flani matokeo yake tumegaragazwa vizuri tu na wanaigeria+South Africa tuache hizo team waTz tujarbu kuwa ma fans wa Good music hajalishi umeimbwa na Mond (simba) ama King(kiba)
 
Eti ni kweli..kiba ni king wa bongoflevour na dai ndo Queen??
 
Kama hujui kuvaa sio lazima uongee
Kuna Mwanamziki anajua kuvaa kama kiba?
Give a kid respect aisee
 
Tatizo hiyo suti ni kuwa Ali Kiba alivokuwa kwa fundi Sallam yule meneja wa diamond alikuwa nyuma ya fundi, na inasadikia alilegeza uzi hivo kufanya fundi ashone oversize.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
usiseme diamond na ali kiba sema ali kiba ndo si lolote nje ya tanzania,diamind kachukua tuzo nje ya tanzania zaidi ya moja unasema si chochote utakua mpuuziii.........................
Diamond anategemea kolabo za nigeria tu vinginevyo atatamba hapahapa na u tube bhaaaaas
 
Pumbavu sana wabongo ndio maana hatuendelei badala ya kuwatia moyo wasanii wetu sisi tunawavunja moyo.. Yale yale ya kumcheka marehem Kanumba kwamba hajui kiingereza
 
Diamond anategemea kolabo za nigeria tu vinginevyo atatamba hapahapa na u tube bhaaaaas
Tuzo za zakuotea zimeisha kwa sasa tuzo wanapewa wale wenye uwezo.. Na bahati mbaya uwezo wa Diomond upo kule insta na pale globalpublishers.
 
Back
Top Bottom