Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
Bora uendelee kuuza online tu hapa sidhani kama utapata wateja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshakariri kila nguo lazima ziwabane
Duh aiseeTatizo hiyo suti ni kuwa Ali Kiba alivokuwa kwa fundi Sallam yule meneja wa diamond alikuwa nyuma ya fundi, na inasadikia alilegeza uzi hivo kufanya fundi ashone oversize.
Angevaa chris brown ivo, mngechukulia ni fashion.View attachment 423759 View attachment 423760 View attachment 423761
Na mtu huyu hawara yake ni m bunifu wa mavaz lakin kaamua tu kuwatia nuksi wenzie kwa kuuchukua alipouchukua msuti wake kwa lengo la kuwaaribia wenzie
HahahaRafiki yako hence kaachiliwa jela ya jf aka ban so yuko free now
Yani nashangaa wanaomtetea alichemsha bwana halafu Jokate Mungu anamuona ye mwenyewe alipendeza.Alikiba anajua kuvaa sijui juzi kilimpata nini
Mumeo nini mana unauchungu kushinda zariusiseme diamond na ali kiba sema ali kiba ndo si lolote nje ya tanzania,diamind kachukua tuzo nje ya tanzania zaidi ya moja unasema si chochote utakua mpuuziii.........................
hahahahahahahahaaaaaaaa....!!!!Tatizo hiyo suti ni kuwa Ali Kiba alivokuwa kwa fundi Sallam yule meneja wa diamond alikuwa nyuma ya fundi, na inasadikia alilegeza uzi hivo kufanya fundi ashone oversize.
Punguza mahaba dada,mwanaume ukivaa koti oversize ni dalili kuwa una matatizo mengi mnoMshakariri kila nguo lazima ziwabane