Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

Mkuu tupia link hapa watu tujoin...
Kulingana na hii topic kuwa interested na ni connection pia kwa wanunuzi na masoko kwa pendekezo langu tuanzishe whatsap group kuhusina na biashara na uwekezaji katika sector hii it will take us somewhre
kama unahitaji hilo
tuma number yako kwa 0767334778 kuunganishwa kwenye group la kuhusiana na madini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
habari jf

kama unaitaji kujua ,kufanya biashara ya madini ndni ya tanzania baasi njoo hapa na uhulize kitut chochote utajibiwa
kwa wanaotakakuwekeza kwenye dhahabu ,madini ya vito ,yaliyo katwa na yasio katwa baasi huu ndio wakati wa kutumia fulsa hii adimu

karibu
mkuu swali langu ni ...natokea kenya inawezekana nkaja tz kununu madini ya dhahabu then naexpot kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za leo kutokana na mabadiliko ya sheria katika sekta hii unatakiwa kufanya nini au kuwa na nini ili uweze kupata dealers licenses ya madini nitapenda kujua hatua kwa hatua ahsante
 
Huu uzi nimeuchelewa Jamani nahitaji Gold hapa Dar es salaam... Lakini kila mtu anataka nimpe ela alete mjini na wengine tuliwatumia 2mil mbeya huko lakini hawakuja... Mimi mteja wangu ananiona sina maana... So kwa watu wenye mzigo na yupo serious anishtue maana wabongo tunazingua sana
 
Mimi Nina quartz kam unafaham soko lake naomba unisaidie au yeyote anaefaham anisaidie
 
Habari za majukumu Wakuu? Samahani, kwa wajuzi wa mawe, aya ni aina gani ya mawe? View attachment 1076566
IMG-20190420-WA0007.jpeg
 
Lindi mkuu.
Kwa hilo eneo mtuaji mkuu atakuwa ni Dangote, lakini ipo haja ya kutembelea viwanda vya sementi kama Diamond au Faru unaweza kupata soko. Usikate tamaa eneo ulipo ni la kimkakati sana ukilinganisha na wachimbaji wengine. Pia ujue hapo ni karibu sana na Dar hivyo gharama za usafirishaji zitakuwa ni ndogo sana ukilinganisha na Makanya au Itigi au Manda.
 
Hivi dar wapi wananunua madini
Duhh. Nilitaka nikkwambie sokoni, lakini dhamira inanisuta. Ni swali gumu lakini ni jepesi. Soko hutegemea aina gani ya madini na ila ogopa sana watu wasiokuwa na ofisi au madalali hewa. Utapigwa za uso halafu utarudi na kilio!!
 
Duhh. Nilitaka nikkwambie sokoni, lakini dhamira inanisuta. Ni swali gumu lakini ni jepesi. Soko hutegemea aina gani ya madini na ila ogopa sana watu wasiokuwa na ofisi au madalali hewa. Utapigwa za uso halafu utarudi na kilio!!
Nipe ofisi za uhakika ziko wapi
 
Back
Top Bottom