Pambanzito
New Member
- Sep 24, 2022
- 2
- 0
Hiii thread bado inaishi?inaweza ikawa ruby ama spinel
kwan upo mkoa gani mkuu(wewe)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiii thread bado inaishi?inaweza ikawa ruby ama spinel
kwan upo mkoa gani mkuu(wewe)
Ilikuja serikali ya magu ikachukia matajiri Kisha Corona mpaka Leo biashara iliyobaki ni Dhahabu.ila kwa Vito labda upate gem Sana na soko la hapa utadalaliwa mpaka ukome kama unaweza pata nyooka South Korea .Hiii thread bado inaishi?
Mkuu ogopa matapeliKiongozi Mimi nataka nijifunze kitu Kuna sehemu Kuna Mali na waliweka wakoloni sasa namna ya kuwapatia wateja hasa wazungu wenye interest maana Kuna mekyuli, dhahabu yenye rangi nyekundu na dhahabu yenye rangi ya bluu je naweza kuwapatia tukafanya biashara nao?