Kulingana na hii topic kuwa interested na ni connection pia kwa wanunuzi na masoko kwa pendekezo langu tuanzishe whatsap group kuhusina na biashara na uwekezaji katika sector hii it will take us somewhre
kama unahitaji hilo
tuma number yako kwa 0767334778 kuunganishwa kwenye group la kuhusiana na madini
Link hyo hapo wadau tujiunge ili tupeane ujuzi zaidi
mkuu swali langu ni ...natokea kenya inawezekana nkaja tz kununu madini ya dhahabu then naexpot kenya.habari jf
kama unaitaji kujua ,kufanya biashara ya madini ndni ya tanzania baasi njoo hapa na uhulize kitut chochote utajibiwa
kwa wanaotakakuwekeza kwenye dhahabu ,madini ya vito ,yaliyo katwa na yasio katwa baasi huu ndio wakati wa kutumia fulsa hii adimu
karibu
Uwezekano upo, unataka kununua toka migodini au?mkuu swali langu ni ...natokea kenya inawezekana nkaja tz kununu madini ya dhahabu then naexpot kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa madealers na chimbaji wadogowadogo...kuhusu bei hapo inategemea mkuu.Uwezekano upo, unataka kununua toka migodini au?
Unanunua bei gani kwa Gram?
Duhh, 92%, ni bomba sana ila hiyo Gypsum ni ya mkoa na sehemu gani?Naomba uniunganishe na wateja serious wa madini ya gypsum, purity yake ni 92%.
Lindi mkuu.Duhh, 92%, ni bomba sana ila hiyo Gypsum ni ya mkoa na sehemu gani?
Kwa hilo eneo mtuaji mkuu atakuwa ni Dangote, lakini ipo haja ya kutembelea viwanda vya sementi kama Diamond au Faru unaweza kupata soko. Usikate tamaa eneo ulipo ni la kimkakati sana ukilinganisha na wachimbaji wengine. Pia ujue hapo ni karibu sana na Dar hivyo gharama za usafirishaji zitakuwa ni ndogo sana ukilinganisha na Makanya au Itigi au Manda.Lindi mkuu.
mkuu swali langu ni ...natokea kenya inawezekana nkaja tz kununu madini ya dhahabu then naexpot kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duhh. Nilitaka nikkwambie sokoni, lakini dhamira inanisuta. Ni swali gumu lakini ni jepesi. Soko hutegemea aina gani ya madini na ila ogopa sana watu wasiokuwa na ofisi au madalali hewa. Utapigwa za uso halafu utarudi na kilio!!Hivi dar wapi wananunua madini
Nipe ofisi za uhakika ziko wapiDuhh. Nilitaka nikkwambie sokoni, lakini dhamira inanisuta. Ni swali gumu lakini ni jepesi. Soko hutegemea aina gani ya madini na ila ogopa sana watu wasiokuwa na ofisi au madalali hewa. Utapigwa za uso halafu utarudi na kilio!!
Kwa mfano Mtaa wa India kuna maduka mengi ya masonara wananunua madini. Lakini hebu tembelea kwenye hii link itakusaidia:Nipe ofisi za uhakika ziko wapi
Ahsante lakini hawa ni wauzajiKwa mfano Mtaa wa India kuna maduka mengi ya masonara wananunua madini. Lakini hebu tembelea kwenye hii link itakusaidia: