Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

Hiii thread bado inaishi?
Ilikuja serikali ya magu ikachukia matajiri Kisha Corona mpaka Leo biashara iliyobaki ni Dhahabu.ila kwa Vito labda upate gem Sana na soko la hapa utadalaliwa mpaka ukome kama unaweza pata nyooka South Korea .
 
Mkuu ogopa matapeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…