Kwa uzandiki aliofanya January Makamba kwa Hayati Magufuli hakupaswa kuteuliwa kuwa waziri. Uzandiki dhidi ya Rais ni kosa kubwa sana

Kwa uzandiki aliofanya January Makamba kwa Hayati Magufuli hakupaswa kuteuliwa kuwa waziri. Uzandiki dhidi ya Rais ni kosa kubwa sana

Japokuwa uteuzi huwa ni bakshishi za kisiasa kwa watu wa karibu wa mwenye mamlaka lakini teuzi lazima zizingatie maadili,utii na sifa njema.

Urais ni taasisi na sio mtu mmoja tu. Kama January alionyesha uzandiki na hila kwa rais aliyepita na kisha akanaswa akimsengenya kimajungu mkuu wa nchi, huyu anafaa kurudi kwenye kabineti tena?

Maana ilidhihirika wazi kuwa hakuwa na utii kwa rais. Na ndio maana alidiliki kupika majungu.

Clip zilirushwa wazi na akaomba msamaha. Sasa leo ofisi ya rais imeona vipi kuwa anafaa? Japokuwa ni mzandiki?
Mwalimu Nyerere alifanya "uzandiki" kwa wakoloni lakini baadaye walimkubali bila shuruti
 
Lengo lao tumelishajua ila 2025 kanda ya ziwa kwa umoja wetu tumekubaliana kuwafundisha adabu katika sanduku la kura.
Wawatoe wote halafu wamufukuze Polepole na Gwajiboy,hapo ndo watajua sukuma gang ni jeshi kubwa.
Na wataelewa kwanini Kikwete aliwahi kuanguka hadharani Dar na Mwanza pekee na siyo Msoga.
 
Japokuwa uteuzi huwa ni bakshishi za kisiasa kwa watu wa karibu wa mwenye mamlaka lakini teuzi lazima zizingatie maadili,utii na sifa njema.

Urais ni taasisi na sio mtu mmoja tu. Kama January alionyesha uzandiki na hila kwa rais aliyepita na kisha akanaswa akimsengenya kimajungu mkuu wa nchi, huyu anafaa kurudi kwenye kabineti tena?

Maana ilidhihirika wazi kuwa hakuwa na utii kwa rais. Na ndio maana alidiliki kupika majungu.

Clip zilirushwa wazi na akaomba msamaha. Sasa leo ofisi ya rais imeona vipi kuwa anafaa? Japokuwa ni mzandiki?
Tumekusikia Mulaga
 
Nipo Chato hapa hawaamini walichofanyiwa kwa mbunge wao wanajifariji siku ya kuzima mwenge watapewa mkoa ndiyo tumaini walilobaki nalo nawangalia tu na kusema moyoni Chato itarudi kuwa kijiji na mataa yatanyewa na ndege yasitoe hata mwanga.​
 
Lakini ujumbe ukifika kwa mlengwa,ile tabia ya umjini ilipungua kwa kiasi fulani
 
Kama kanda ya ziwa mngekuwa na uwezo wa kufundisha watu kwenye box la kura, Magufuli asingeagiza wizi wa kura tuliouona 2020.
Kila uchaguzi mnaibiwa nyie tuu, hii inaonesha ni jinsi gani mlivyo vichwa maji hamna akili.
 
Kujenga yajayo ndio jambo la msingi kwa Taifa letu,na pia kila mtu anakosea akijisahihisha tunakuwa tunaendelea mbele kwa kujenga taifa moja
 
Mama aendelee kuchapa kazi na aendelee kuteua watu anaowaona wanafaa ktk kulijenga taifa na tunamuombea Mungu azidi kumlinda na kumpa afya njema
 
Japokuwa uteuzi huwa ni bakshishi za kisiasa kwa watu wa karibu wa mwenye mamlaka lakini teuzi lazima zizingatie maadili,utii na sifa njema.

Urais ni taasisi na sio mtu mmoja tu. Kama January alionyesha uzandiki na hila kwa rais aliyepita na kisha akanaswa akimsengenya kimajungu mkuu wa nchi, huyu anafaa kurudi kwenye kabineti tena?

Maana ilidhihirika wazi kuwa hakuwa na utii kwa rais. Na ndio maana alidiliki kupika majungu.

Clip zilirushwa wazi na akaomba msamaha. Sasa leo ofisi ya rais imeona vipi kuwa anafaa? Japokuwa ni mzandiki?
UNAHITAJI MAFUTA YA DK MWAMPOSA

MAJI YA KUHANI MUSA

CHUMVI TOKA KWA GWAJIMA YAANI WAKUCHANGANYIE UJIMWAGIE ASBH NA JIONI WIKI MOJA
 
Si umeshasema aliomba msamahaa ,kumbe hamkumsamehe...Basi sawa watumbatu tumemsamehe
 
Japokuwa uteuzi huwa ni bakshishi za kisiasa kwa watu wa karibu wa mwenye mamlaka lakini teuzi lazima zizingatie maadili,utii na sifa njema.

Urais ni taasisi na sio mtu mmoja tu. Kama January alionyesha uzandiki na hila kwa rais aliyepita na kisha akanaswa akimsengenya kimajungu mkuu wa nchi, huyu anafaa kurudi kwenye kabineti tena?

Maana ilidhihirika wazi kuwa hakuwa na utii kwa rais. Na ndio maana alidiliki kupika majungu.

Clip zilirushwa wazi na akaomba msamaha. Sasa leo ofisi ya rais imeona vipi kuwa anafaa? Japokuwa ni mzandiki?
Wewe ndio mzandiki. Full stop.

Walikuwa wanamsengenya mwendazake au walikuwa wanasema ukweli kuhusu mapungufu yake?
 
Back
Top Bottom