Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwalimu Nyerere alifanya "uzandiki" kwa wakoloni lakini baadaye walimkubali bila shurutiJapokuwa uteuzi huwa ni bakshishi za kisiasa kwa watu wa karibu wa mwenye mamlaka lakini teuzi lazima zizingatie maadili,utii na sifa njema.
Urais ni taasisi na sio mtu mmoja tu. Kama January alionyesha uzandiki na hila kwa rais aliyepita na kisha akanaswa akimsengenya kimajungu mkuu wa nchi, huyu anafaa kurudi kwenye kabineti tena?
Maana ilidhihirika wazi kuwa hakuwa na utii kwa rais. Na ndio maana alidiliki kupika majungu.
Clip zilirushwa wazi na akaomba msamaha. Sasa leo ofisi ya rais imeona vipi kuwa anafaa? Japokuwa ni mzandiki?
Wawatoe wote halafu wamufukuze Polepole na Gwajiboy,hapo ndo watajua sukuma gang ni jeshi kubwa.Lengo lao tumelishajua ila 2025 kanda ya ziwa kwa umoja wetu tumekubaliana kuwafundisha adabu katika sanduku la kura.
Tumekusikia MulagaJapokuwa uteuzi huwa ni bakshishi za kisiasa kwa watu wa karibu wa mwenye mamlaka lakini teuzi lazima zizingatie maadili,utii na sifa njema.
Urais ni taasisi na sio mtu mmoja tu. Kama January alionyesha uzandiki na hila kwa rais aliyepita na kisha akanaswa akimsengenya kimajungu mkuu wa nchi, huyu anafaa kurudi kwenye kabineti tena?
Maana ilidhihirika wazi kuwa hakuwa na utii kwa rais. Na ndio maana alidiliki kupika majungu.
Clip zilirushwa wazi na akaomba msamaha. Sasa leo ofisi ya rais imeona vipi kuwa anafaa? Japokuwa ni mzandiki?
Kila uchaguzi mnaibiwa nyie tuu, hii inaonesha ni jinsi gani mlivyo vichwa maji hamna akili.Kama kanda ya ziwa mngekuwa na uwezo wa kufundisha watu kwenye box la kura, Magufuli asingeagiza wizi wa kura tuliouona 2020.
Wala hujakosea mkuuNakazia alikuwa na akili kama mleta mada.
Wewe na ukoo wako wote ni mbumbumbu bingwa wa majungu kama hili unalotaka kupika hapa bila mafanikio kumbaff kabisaHii nchi imejaa watu wa majungu kama wewe
UNAHITAJI MAFUTA YA DK MWAMPOSAJapokuwa uteuzi huwa ni bakshishi za kisiasa kwa watu wa karibu wa mwenye mamlaka lakini teuzi lazima zizingatie maadili,utii na sifa njema.
Urais ni taasisi na sio mtu mmoja tu. Kama January alionyesha uzandiki na hila kwa rais aliyepita na kisha akanaswa akimsengenya kimajungu mkuu wa nchi, huyu anafaa kurudi kwenye kabineti tena?
Maana ilidhihirika wazi kuwa hakuwa na utii kwa rais. Na ndio maana alidiliki kupika majungu.
Clip zilirushwa wazi na akaomba msamaha. Sasa leo ofisi ya rais imeona vipi kuwa anafaa? Japokuwa ni mzandiki?
Wewe ndio mzandiki. Full stop.Japokuwa uteuzi huwa ni bakshishi za kisiasa kwa watu wa karibu wa mwenye mamlaka lakini teuzi lazima zizingatie maadili,utii na sifa njema.
Urais ni taasisi na sio mtu mmoja tu. Kama January alionyesha uzandiki na hila kwa rais aliyepita na kisha akanaswa akimsengenya kimajungu mkuu wa nchi, huyu anafaa kurudi kwenye kabineti tena?
Maana ilidhihirika wazi kuwa hakuwa na utii kwa rais. Na ndio maana alidiliki kupika majungu.
Clip zilirushwa wazi na akaomba msamaha. Sasa leo ofisi ya rais imeona vipi kuwa anafaa? Japokuwa ni mzandiki?
Hila angeteuliwa bwanaako!!?Nakuunga mkono kwa asilimia 100. Makamba hakutakiwa kuteuliwa kuwa Waziri .
Dikteta aliiba Simba wetu na swala kawapeleka chatttttleSi uzandiki tu, Makamba ni mwizi. Hana sifa ya kuwa waziri. Atuambie bilioni moja yetu aliyoiiba itarejeshwaje. Au ataiba tena.
ila uchaguzi mnaibiwa nyie tuu, hii inaonesha ni jinsi gani mlivyo vichwa maji hamna akili.