Kwa uzoefu na uelewa wangu wa soka la Bongo, Leo Azam washinde au washindwe kocha atatimuliwa

Kwa uzoefu na uelewa wangu wa soka la Bongo, Leo Azam washinde au washindwe kocha atatimuliwa

Kiwango cha Azam ni kibovu sana, mtu yeyote mwenye akili hawezi kwenda na kocha huyu, azam wanaongoza bao 2 1 hadi sasa dakika ya 59 lakini nina uhakika hata kama wataiondoa Bahir leo, kocha hana kazi.

Timu imesajili vyuma hasa lakini kiwango sifuri, asipofukuzwa kocha kesho mtaniambia
Timu yenyewe ni kama wamekutana Leo asubuhi mchana wakakutana na Mechi.
 
Azam wapuuzi,
Wanaweza endelea na huyu mjinga aisee
 
Kwa mbaali nawaona akina Kalimangonga, Moriss na hata Mgunda kupiga Jaramba kwenda kubeba Mikoba ya Kocha Dabi na Benchi lake zima la Ufundi.

Kudadadeki....!!
 
Na huyu nae atabaki?
FB_IMG_16930004412321046.jpg
 
Tulisema humu wakati anakuja, Dabo anaeza kuwa wa kwanza kuondoka

Azam mnasema wana hela lkn mbn makocha wao ni wa viwango duni ?
 
Back
Top Bottom