Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Timu yenyewe ni kama wamekutana Leo asubuhi mchana wakakutana na Mechi.Kiwango cha Azam ni kibovu sana, mtu yeyote mwenye akili hawezi kwenda na kocha huyu, azam wanaongoza bao 2 1 hadi sasa dakika ya 59 lakini nina uhakika hata kama wataiondoa Bahir leo, kocha hana kazi.
Timu imesajili vyuma hasa lakini kiwango sifuri, asipofukuzwa kocha kesho mtaniambia
Azam hawacheleweshi. Hawajui kuremba.Yussuf Dabo, ukishinda au ukitolewa you will be fired
Hata hao wa nje ,pia wanawachukua wabovuKalimangonga Ongala ni kocha mzuri lakini uongozi wa Azam wamekariri makocha wa nje.