Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
Msanii wa CCM on freakbut kwa nnavyowajuwa basata na weredi wao wa kutukuka hiyo Video itafungiwa baada ya miezi sita au mwaka kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msanii wa CCM on freakbut kwa nnavyowajuwa basata na weredi wao wa kutukuka hiyo Video itafungiwa baada ya miezi sita au mwaka kabisa
yeye kalenga kumsifia mwanamke mrembo wa kiafrika..imba yako ya kusifia vivutio vya kiafrika kama hiyo misitu,milima,bahari na mbuga...Video ina mawazo finyu sana. Hivi, african beauty ni matiti na makalio ya wasichana tu?
Vipi mandhari za kuvutia kama ngorongoro, mlima kilimanjaro, maporomoko ya mto limpopo huko zimbabwe nk sio african beauty hiyo?
Niliona comments zako kuhusu wastara na diamond na hapa nimekukuta ndio ndio nimejua akili yako ,pole Sana , dunia sio Tz tu na ukiwaza HK wenzio wanawaza vileSasa hapo Diamond alikuwa ana lenga nn?
Mkifungiwa msianze kulalamika na hata wasipo fungia waso mpenda watasema wimbo hauna maadili hatupigi
Harafu hizo nyimbo za kiba zina views wangapi na kwa muda gani ukilinhanisha na hizo ulizotaja?Anajiharibia local fanbase na bado ataendelea kulalamika ooo media za bongo hazipigi nyimbo za wasafi,Mbona nyimbo ya SIKOMI haina mbwembwe nyingi lakini hata views inazozaidi ya mil 11 alafu collabo na rickross hata mil 6 haijafika. jiongeze kaka unajiharibia mashabiki utaona kiba nyimbo atakayotoa haitakuwa na mbwembwe nying za wadada wakaa uchi na itapata air time kweny media,Alafu kweny hiyo nyimbo mpya kaharibu content kweny upande wa culture kwani masuala ya uchi sio ubeauty wa mdada wa kiafrika kama inavyotambulika,hayo mambo mwachie Jason na treysongz
VP unataka na ww tukupe list ya nyimbo ambazo haxina maadili na zinafanya vizuri Sana zaidi ya hizo ulizitaja ,matumizzi mazuri ya akili ni kuangalia na A na B ya unachowazaAcheni uwongo na kuwa na fikra hasiii kiasi hcho "" mbona kuna video nyingi tu toka huko huko ulaya na amerca ambazo hazina viashiria vya ngono na nyimbo zao ziko hit mnooo ""
Hebu nionyeshe wimbo wowote wa eddy sheran ambao video yake inamaudhui ya wanawake waliokaa uchi "" au video zake naye ameziandaa kwaajili ya kuzionyesha afrivmca tu peke yake vipi kuhusu ile ngoma ya manya ya wizkid mbona hamna wacheza uchi mule au video imepangwa kuonyeshwa tanzania tu pekee"" vipi kuhusu fia ya davido..vipi kuhusu " loyalty ya kendrick vipi kuhusu humble ya kendrick .
Aiseeee ifikie hatua watu tubadilike na hizi fikra hasi kuwa kukaa uchi ndio uzungu sijui ustaa wakati hapo hapo tumeona huyo omarion video yake ameifanyia south africa tena eneo kubwa la shooting likiwa limefnyika mbugani na hakuna aliyekaa uchi vipi kuhusu french montana aliykuja kufnya video uganda na nyimbo yke kuwa hit pasipo kuwa na mademu walio uchi .
Serikali ikiwafungia mnadai kuwa mnaonewa ..kwanini msijikite kwenye kuwa mnaiga mambo mazuri tu pekee na yasiyo na faida mkaachana nayo
Si utoe wimbo wako uonyesha hayo ulioyataja ili na ww ufanikiee zaidiVideo ina mawazo finyu sana. Hivi, african beauty ni matiti na makalio ya wasichana tu?
Vipi mandhari za kuvutia kama ngorongoro, mlima kilimanjaro, maporomoko ya mto limpopo huko zimbabwe nk sio african beauty hiyo?
sikuwa nahitaji kuendelea nahuu mjadala wenu CU's huwa na amini average mind huwa wanapnda kukaa na kudiscus watu muda wote ....sijui uliiona hii content yangu kwa mtazamo upi ...lakini wakati na itoa hapa nilikuwa na jua kuwa kuna nyimbo ambazo huwa ziko naked mono nazinafnya vizuri ...ila niliitoa ile statement kumjibu mtu aliyesema kuwa Jamaa ametoa nyimbo yenye maudhui ya video hiyo yenye muonekano huo kwaajili ya kutagert soko la nje ''"" nasio soko La ndani ""VP unataka na ww tukupe list ya nyimbo ambazo haxina maadili na zinafanya vizuri Sana zaidi ya hizo ulizitaja ,matumizzi mazuri ya akili ni kuangalia na A na B ya unachowaza
Hiyo itakua nzuri sana mkuu...Video ina mawazo finyu sana. Hivi, african beauty ni matiti na makalio ya wasichana tu?
Vipi mandhari za kuvutia kama ngorongoro, mlima kilimanjaro, maporomoko ya mto limpopo huko zimbabwe nk sio african beauty hiyo?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hiyo itakua nzuri sana mkuu...
Nakushauri ufanye video ya wimbo wa aina hiyo kumuonesha mfano huyu kijana kwamba inawezekana..!
King mswat huwa anafanye vilee...Kama vipi Mondi ahamie tu nchi za nje awe anatuletea madude makali kama haya. Dunia ya leo mnapiga kelele na kichupa cha Mondi wakati wadada wa watu mnawachojoa kila siku na wengine mnachojolewa kama hamna akili nzuri. Kwanza maadili halisi ya Kiafrika ni wasichana vigoli kuacha matiti wazi na kuvaa kikamba tu kiuononi.
Hahaa haNyimbo zenu za kibongo mbona zinajulikana tu kasilikile sikomi uko ndio kwajili yunu hizi nyingine tuachieni wenyewe
Alishasema ye ni kiwanda cha kuzalisha habari unaona anavyotrend Africa now? Halaf katoa clean version kazi kwenuNi kweli video haina maadili kabisa, hauwezi ukakaa na familia yako mukaitazama.
Tangu 2010 mnasemaha hiv hivi,leo lini kumbe? Still anajadiliwa tu na ndo kwanza FiFA wameona umuhimu wke,kalagha bao.Sikio la kufa halina dawa,anaweza kujihisi anapanda chati kwa haraka lakini hajui kuwa anguko lake litakuwa nalo la haraka vilevile..
Wanataka ngoma kama ya Kaitaba hahahahaHiyo ngoma hajashuti kwaajiri ya wabongo so endelea kukomaa na Saida Karoli
Huyu bwana mdogo kwanza namuelewa saaana na namkubali mnoo kwa uchapaji wake wa kazi...
Kila mtu anajua sas hivi yupo busy na kuitambulisha album yake mpya ya A boy from Tandale...
Leo nimepita youtube nikakutana na uchafu wa ajbu saana katika moja ya wimbo wake ambao utakuwepo kwenye iyo albamu.
Huu wimbo kamshirikisha Omarion unaitwa African beauty....Sijui dogo kawaza nini ila kiukweli huu wimbo video yake haitchezwa kokote pale na ikitoka tuu lazima wamtie ndaniii....
Video madada matiti yoote nje nje...yaaan naked kabisaaa...daaah,that is tooooo much aiseeeee
Nyimbo za namna hii tumezoea kuziona kwa wakina Snoopy,Nelly na wengineo wanaofanyaga dirty version...domo kaiga....Yaaan huu wimbo dogo ajue tu ban inamuhusu...ebu cheki hii screenshot hapo chini..
Video kamili hii hapa