Kwa video hii, mwendokasi uwe na sehemu tofauti ya wanawake na wanaume

Kwa video hii, mwendokasi uwe na sehemu tofauti ya wanawake na wanaume

Juzi natoka shekilango kwenda kariakoo ngoma Imejaa kuna denu laivu kaniwekea kila nikikwepa analeta. Aisee nilijikaza sana ila ngoma ilikuwa mnara
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Camerapicha kwani simu ulikua umeiweka wapi? Itakua ilkua kwenye mfuko wa shati mbele😂😂
 
Back
Top Bottom