MhhhhHuyo dada hana shida mwenye matatizo ni hilo jinga linalohangaika hapo kama umemuelewa mtu SI um face directly kuliko kujidharirisha namna hii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Juzi natoka shekilango kwenda kariakoo ngoma Imejaa kuna denu laivu kaniwekea kila nikikwepa analeta. Aisee nilijikaza sana ila ngoma ilikuwa mnara
Dada hana shida kvp?Huyo dada hana shida mwenye matatizo ni hilo jinga linalohangaika hapo kama umemuelewa mtu SI um face directly kuliko kujidharirisha namna hii.
Aliyerecord nayeye ndo mishezake ujue mtu ambae ajawahi kufanya mamb haya kujua kinachoendelea cio rahisiAliyerekodi tukio ana sifa ya kuwa FBI ,ila ukiwa na ndugu yako unaweza kuona aibu watu wengine wa hovyo sana
[emoji16][emoji16]Aliyerecord nayeye ndo mishezake ujue mtu ambae ajawahi kufanya mamb haya kujua kinachoendelea cio rahisi
[emoji23][emoji23]Camerapicha kwani simu ulikua umeiweka wapi? Itakua ilkua kwenye mfuko wa shati mbele[emoji23][emoji23]
Hance MtanashatiSasa wewe kwa nini unawarekodi?🤣🤣🤣