Kwa Video Hii Nimeamini Kuwa Ukiwa Mtumishi Wa Serikali Uchawi Muhimu Aiseh!!!

Hamna uchawi hapo
Hali kama hiyo imewahi kunikuta kwa mara ya kwanza nilisimama mbele ya watu wengi kabisa wa heshima na kuwa kimya kunisikiliza nnachoongea nilishindwa kusema kitu zaidi ya kuishiwa nguvu kwa uoga
nilianza kuwaona mashujaa wale wanaojiamini mbele ya kadamnasi na hapo nilianza ku Google jinsi ya kupata ujasiri wa kuongea mbele ya watu kwa kuwaza siku moja ntaaibika zaidi

Hata Rais samia aliwahi kusema juu ya kuongea mbele ya watu kwa kujiamini na kuhusu kusoma proposal alizoandikiwa na watu smart lakini wasiyoweza kuziwasilisha mbele ya kadamnasi

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
we unajiona upo OK?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…