Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Achana nazo mkuu halafu upime uzito,majibu ubaki nayo mwenyewe [emoji23][emoji23]Nina hirizi nane na bado nakosa hela ya kula
Barakoa imemzidi nguvu. Juzi kati niliwaambia nilipanda ngazi za ghorofa nne nikiwanimeivaa nilipofikajuu kidogo nizimie,Zambia hii wajameni
Mbona kukonda nimekonda tayari[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Achana nazo mkuu halafu upime uzito,majibu ubaki nayo mwenyewe [emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah pole mkuuMbona kukonda nimekonda tayari
Acha tu. Kama kuna mganga mzuri mnayemjua nionyesheni jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah pole mkuu
Hamna uchawi hapo
Hali kama hiyo imewahi kunikuta kwa mara ya kwanza nilisimama mbele ya watu wengi kabisa wa heshima na kuwa kimya kunisikiliza nnachoongea nilishindwa kusema kitu zaidi ya kuishiwa nguvu kwa uoga
nilianza kuwaona mashujaa wale wanaojiamini mbele ya kadamnasi na hapo nilianza ku Google jinsi ya kupata ujasiri wa kuongea mbele ya watu kwa kuwaza siku moja ntaaibika zaidi
Hata Rais samia aliwahi kusema juu ya kuongea mbele ya watu kwa kujiamini na kuhusu kusoma proposal alizoandikiwa na watu smart lakini wasiyoweza kuziwasilisha mbele ya kadamnasi
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Bro yasikie kwa watu tu.... Kuna jamaa yangu aliwahi kuitwa kwenye interview ya udereva wa Gari za mizigo(truck) na alishangaa kuona wazee anawajua kitambo wanaendesha malori lakini siku iyo walishindwa kutoa Gari usifanye mchezo kaka!!Ni kweli inatokea ila si kwa mtu kama IGP ,yaani amepita machaka kibao mpaka rais akamuamini na kumteua ina maana anamjua yupo vizuri....huyo ni kitete tu kilimpata ni kama yule dr wa siku ya afya summit mpaka dr gwajima akasema amechanja?
Hamna uchawi hapo
Hali kama hiyo imewahi kunikuta kwa mara ya kwanza nilisimama mbele ya watu wengi kabisa wa heshima na kuwa kimya kunisikiliza nnachoongea nilishindwa kusema kitu zaidi ya kuishiwa nguvu kwa uoga
nilianza kuwaona mashujaa wale wanaojiamini mbele ya kadamnasi na hapo nilianza ku Google jinsi ya kupata ujasiri wa kuongea mbele ya watu kwa kuwaza siku moja ntaaibika zaidi
Hata Rais samia aliwahi kusema juu ya kuongea mbele ya watu kwa kujiamini na kuhusu kusoma proposal alizoandikiwa na watu smart lakini wasiyoweza kuziwasilisha mbele ya kadamnasi
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Muulize mshana jrMwenye pdf ya kitabu cha hizi sayansi anipm
Ni kwenye sentensi gani hiyo niliyojilinganisha na raisShortly unajilinganisha na Madame president SSH?
Bado sana Chief!! Sanaaaa!!
Au ukute nae ana hirizi za kutosha apo zinapingana na iyo biblia aliyoshika😂Juju iyo sio bure...Waliotemwa wamefanya yao...! Hapo akipanda mwingine Kuapa Uchizi unamuhusu..!!