Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
- #21
Yes, nilipita, tulikuwa wagombea 176, wagombea tukiopata kura ni wagombea 47, wagombea 129 hawakupata kitu!.Sorry kwa kuwa nje ya maada Vipi Ulipita Kura za Maoni? Ndugu Paschal Njaa a.k.a Mayalla?
Kwa upande wangu mimi, nilipata kura moja ya ushindi.
P