Hivi kichwa umebeba tu, kumbe empty brain unaongea, huna kitu ndani, hadi vita vinaanza nani alianza kuua mwenzake? Nani alianza kuvamia na kuua raia wa Israel na mataifa mengi wakiwa katika sherehe yao? Nani? Hadi mtanzania kauawa na Hamas, tena vita ilikuwa hakuna, hivi umejitoa akili kabisa wewe? Hamas ni magaidi pumbaf sana, inafaa waangamizwe kabisa hata mmoja asibaki, ni kuwa hujui kabisa hata chanzo za vita hivi wewe, uko kama kichaa tu unaandika, of course you have mental disorder, but huponi hata kujua ukweli, vita havianzi tu kuna sababu, hata sababu hujui, wewe kichaa kabisa.