Kwa vile Israel imekubali yaishe; je, kuna umuhimu kuonewa huruma ili dunia ipate nafuu?

Wee Mbulula kanye kwanza kisha ujisafishe ndo uje na kiswa-english yako hapa jukwaani, nimezoea kuona walevi wakichanganya lugha ya kiswahili na kiingereza, sijui nawe ni mmojawao????!!!!
 
Wee Mbulula kanye kwanza kisha ujisafishe ndo uje na kiswa-english yako hapa jukwaani, nimezoea kuona walevi wakichanganya lugha ya kiswahili na kiingereza, sijui nawe ni mmojawao????!!!!

I will castrate you, shithole, umeingia juzi humu hujui watu, scented mouth, nyoko wee
 
Wewe ndio huna kumbukumbu.Habari ya vita hivi imeshaelezwa zamani na kwa urefu na hata mimi nimeandika sana hapa hapa JF.
Kama hujapenda Israel kuamua kurudisha nyuma askari basi waulize wao au nenda wewe mbele ukapambane na Hamas.
 
Hata usipovutika wewe kusoma nukta ziko wazi tu ya kuwa Israel inaondoka Gaza baada ya miezi 6 ya mapigano yasiyo na faida.
Yasio na faida wewe una akili sawasawa?.....unajua Israel anachoifanya Gaza mpaka duania nzima inaomba cease fire?....alafu unakuja kenge MMOJA upo zako madrasa na msigida wako kama kilaka unasema malengo hayajatimia😀😀
 
Israil ni mtoa roho, alisikika mtu mmoja mvaa kobazi!

Huyo huyo eti bado anaomba mechi na mtoa roho!..? Huu ni Ujinga wa wazi kabisa na kuvimbiwa tende!

Hiyo kura ya Veto imeshindwa sembuse wavaa kobazi??
 
Israil ni mtoa roho, alisikika mtu mmoja mvaa kobazi!

Huyo huyo eti bado anaomba mechi na mtoa roho!..? Huu ni Ujinga wa wazi kabisa na kuvimbiwa tende!

Hiyo kura ya Veto imeshindwa sembuse wavaa kobazi??
kiburi sio sifa nzuri
 
Ni kawaida mafanikio huwa yanawakera baadhi ya watu waovu.
Yaani nyinyi mlipenda kila siku msome wapalestina 110 wameuliwa na majumba 10 yamevunjwa.
Mkuu ninacho kukubali ni very matured mala nyingi watu naona wanakutolea lugha mbaya lakn unajibu vizuri very cool yaani not like others ambao mala nyingi huanza na sijui kafiri wewe sijui nenda kabarikiwe shoga ww

Wengine sisi jF ni DARASA tupo kujifunza vitu ambavyo either hatuvijui kabisa au tunavijua but tuli feed bongo zetu kwa wrong info

Keep it up uongo au ukweli hupigwa kwa hoja with vivid examples
 
Vipi kichapo cha gaza.....kimekuchanganya 🤣🤣🤣🤣 mzee wa kutwa mara tano
 
Najua sana hali ilivyo huko.Watu wameuliwa sana na hata aliyeuwa amechoka kuua bila kutimiza hata lengo moja.
Muhimu wamechoka na wameamua kurudi nyumbani hatua kwa hatua.Huo ni ushindi mkubwa kwa Hamas na watu wote wapenda haki duniani.
Usije kuukimbia huu uzi.......wewe si ulisema IDF WAOGA HAWAWEZI KUINGIA GAZA
 
Wa kuonewa huruma....ni waarabu na wale watu wa imani yako ambayo mungu wa kiarabu amewaagiza muwaue na kuwamaluza wayahudi ilampaka leo mmeshindwa🤣🤣🤣
 
Inajiandaa kuivamia Rafah! Vile vile inajitayarisha kwa vita vingine na Iran baada ya kushambulia ubarozi wa Iran pale Syria.
Tishio la Iran kulipiza kisasi linaipa wakati mgumu Israel.
 
Usije kuukimbia huu uzi.......wewe si ulisema IDF WAOGA HAWAWEZI KUINGIA GAZA
wapi nilisema
Mimi najua IDF si waoga nilichokuwa nasema tangu mwanzo ni kuwa IDF mwishowe watashindwa pamoja na ushujaa wao na ukubwa wa jeshi na teknolojia walizonazo
 
wapi nilisema
Mimi najua IDF si waoga nilichokuwa nasema tangu mwanzo ni kuwa IDF mwishowe watashindwa pamoja na ushujaa wao na ukubwa wa jeshi na teknolojia walizonazo
Wameshindwa...wapi????
Mbona hamas haitoi figure ya wanajeshi wake waliokufa????
Unajua kwanini???
 
Uandishi wa madrasa utaujuwa tu, haumvutii hata msomaji kusoma pumba zako.
😄😄😄😄😄😄😄ila sisi makafiri tunadharau afu tunajua afu kielimu tuko vizuri...... tunaitwa makafiri ila waislam kila siku wanakimbilia nchi za makafiri huwa nashangaa sana maislam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…