Kwa viongozi wa Afrika Mashariki, Uhuru Kenyatta ni kiongozi aliyechaguliwa na Mungu!

Kwan mliman city imemilikiwa miaka mingap na wale jamaa mkuu
 
Uhuru kakulia ikulu.Hana inferiority complex wala ushamba na ikulu.
 
Hiyo idadi uliyotaja ni ndogo sana ukilinganisha na Tz
 
Majina uendana na tabia ya mtu.Huwezi ukaitwa uhuru ukawa na tabia za kidikteta.
 
Uhuru ana exposure ni born town km JK akuja mjini kwa roli la ng'ombe,ni mature si primitive ni civilized,ni mfanyabiashara ana mindeset za kitajiri,anajua lugha,anajiamini ana ujasiri wa kujenga na kujibu hoja check speech zake ni muumini Wa hoja kwa hoja tofauti na hao, hoja ujibiwa kwa bunduki.
 
Leo tunaweza kifungua midomo kuongelea mapungufu ya kenya ila ya hapa kwetu hatuthubutu!
Kama unazo za kulipia fine baada ya kuandika barua ruksa kufunua mdomo.Huna utamfata alipo Ben 8 na Azory
 
Inferiority complex,luck of exposure,lack of inner confidence,highest level of inner selfish ness,luck of education and civilization,bad historical childhood,luck of God fear ndo tatizo kuu kwa wote hao kuanzia south sudan ndo inampa Uhuru kuwa the best.
 
Angepita huyo mwingine wakenya wangekuwa wakilia saa hii
 
Asingebaki mtu.Kama mtu mmoja katendewa vile area D vipi hao si wangetupiwa nyuklia
 
Usilo lijua ni sawa sawa na usiku wa giza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ukanda huu Kenya wamebarikiwa sana uongozi wake na kikwete hautofautiani sana ni viongozi afrika itayowakumbuka sana km tz kikwete nathubutu kusema ni raisi bora kuwahi kutawala hili taifa ukimtoa baba Wa taifa
 
Kwani kunani huko?
Ujue Nina mambo ya maana saa hizi?
Huko wapi? Ni hapa hapa! Acha kujifanya upo kwenye chumba kingine wakati sauti yako inapenyeza kutoka kwenye kitchen. Ukimaliza kula mihogo yako na 'strong tea' njoo humu umwage mipovu ya kilo. πŸ˜€
 
Kwa hiyo wengine wamechaguliwa na shetani? Maana sijaelewa hapa
 
Hiyo idadi uliyotaja ni ndogo sana ukilinganisha na Tz
We Acha porojo,Naomi Shaban ni waziri wa nini? Tangu lini Naomi akawa waziri? Mbunge wa starehe yupi alieuawa ? Kwa taarifa yako mbunge wa starehe ni jaguar ambaye alimshinda maina kamanda .Usiwe unadakiadakia tu vitu usiovyelewa.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…