pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Swali nzuri sana hili! Mleta mada aje ajibu, maanake hata mimi akili zangu zilikuwa zimeanza kuegemea upande wa 'masta' mwingine. [emoji23]Kwa hiyo wengine wamechaguliwa na shetani? Maana sijaelewa hapa
Matendo ya uongozi ndio utamtumbulisha ni wakala Wa Mungu au shetani.Wa Mungu hawezimwaga damuKwa hiyo wengine wamechaguliwa na shetani? Maana sijaelewa hapa
Huko wapi? Ni hapa hapa! Acha kujifanya upo kwenye chumba kingine wakati sauti yako inapenyeza kutoka kwenye kitchen. Ukimaliza kula mihogo yako na 'strong tea' njoo humu umwage mipovu ya kilo. 😀
Kuna faida gani kucheka huku uchumi unakwenda na maji?Angepita huyo mwingine wakenya wangekuwa wakilia saa hii
Ni kwa ufupi tuHiyo idadi uliyotaja ni ndogo sana ukilinganisha na Tz
Naona mmeshiba makande mnaropoka.Hi!
Nimesikiliza wimbo wa Rose Mhando wa shukrani- Kenya Ulindwe!
Na baada ya kuusikiliza nikajiuliza kwanini hizi baraka zisibaki kwetu au ziende pengine popote?
Kwanini zimuendee Uhuru?
Nikakumbuka pia sakata la vifaranga vya kuku vilivyochomwa moto na ng'ombe zilizotaifishwa na reaction ya Uhuru, nikasema kweli Uhuru ubarikiwe na malango yako yawe salama!
Uhuru ana uhaiba fulani na Kikwete.
Ukimuangalia Kagame unaona Panga na damu, Ukimuangalia Museveni naye Panga na damu, hapo Burundi panga na damu!
Mzee Meko namheshimu sana siwezi kumuongelea, siwezi hata kufunga kamba za viatu vyake!
Uhuru, Mungu akulinde, Uhuru uinuliwe, Uhuru malango yako yabarikiwe, Nasema tena Uhuru, narudia Uhuru, mipaka yako ilindwe!
Mbingu zinene mema, kwaajili yako zinene mema.
Uhuru ubarikiwe pamoja na watoto wako.
Uhuru ulimpokea Lissu na hukufanya hiana!
Uhuru pokea baraka.
Kenya pokeeni baraka kwakuwa mnaye Uhuru!
Monkeys ndiyo waliomchagua monkey mwenzaoHi!
Nimesikiliza wimbo wa Rose Mhando wa shukrani- Kenya Ulindwe!
Na baada ya kuusikiliza nikajiuliza kwanini hizi baraka zisibaki kwetu au ziende pengine popote?
Kwanini zimuendee Uhuru?
Nikakumbuka pia sakata la vifaranga vya kuku vilivyochomwa moto na ng'ombe zilizotaifishwa na reaction ya Uhuru, nikasema kweli Uhuru ubarikiwe na malango yako yawe salama!
Uhuru ana uhaiba fulani na Kikwete.
Ukimuangalia Kagame unaona Panga na damu, Ukimuangalia Museveni naye Panga na damu, hapo Burundi panga na damu!
Mzee Meko namheshimu sana siwezi kumuongelea, siwezi hata kufunga kamba za viatu vyake!
Uhuru, Mungu akulinde, Uhuru uinuliwe, Uhuru malango yako yabarikiwe, Nasema tena Uhuru, narudia Uhuru, mipaka yako ilindwe!
Mbingu zinene mema, kwaajili yako zinene mema.
Uhuru ubarikiwe pamoja na watoto wako.
Uhuru ulimpokea Lissu na hukufanya hiana!
Uhuru pokea baraka.
Kenya pokeeni baraka kwakuwa mnaye Uhuru!