Kwa viongozi wa nchi hii, kuomba mvua ni kupoteza muda tu

Kwa viongozi wa nchi hii, kuomba mvua ni kupoteza muda tu

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Wananchi wanalia kila kona nchi hii kuhusu KUKOSEKANA KWA HAKI. Hii maana yake viongozi walioko mamlakani ama wamebariki au wameasisi udhalimu huu.

Tulitegemea viongozi wa dini wawe wakali na wakemee udhalimu huu, lkn wamekaa kimya. Maana yake ni kwamba viongozi hawa wa dini pia wamebariki udhalimu huu

Sasa inashangaza kuona viongozi hawa hawa ambao ni wahusika wa dhambi hii wanakuwa wa kwanza kumlilia Mungu alete mvua.

Kwa usafi gani? Kwa kipi? Kwa (upako) nguvu ipi? Na kwa jema lipi ? Mungu anaweza kuyapokea maombi ya viongozi hawa (wa serikali na dini) waovu hadi alete mvua??? Maombi ya mwenye dhambi ni makelel mbele za Mungu.

Viongozi wa serikali na dini msiyachoshe masikio yetu kwa kuaikiliza kelele zenu.
 
Wakiamua kubadili mienendo Yao Mungu atawamiminia baraka Hadi wa shangae, ila kwa kuwa wamekumbatia uovu nawaendelee kumdhihaki Muumba, na watapata stahiki Yao🤔.
 
Kuna maswali najiuliza mbona kama wanasiasa wa tanzania baraz Wana uwezo mkubwa sana katka comedy kuliko hata politics Kuna haja yakua halalisha kua politics in tz is directly proportional to comedy
emoji848.png
emoji848.png
emoji848.png
 
Kuomba mvua ni ujinga uliopitiliza, tatizo la maji na umeme halikutakiwa liwepo nchini leo hii
 
Back
Top Bottom