Kwa Waadventista Wasabato: Usisahau kuombea uchaguzi wa mwaka huu

Kwa Waadventista Wasabato: Usisahau kuombea uchaguzi wa mwaka huu

Barnabas Mashamba

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2020
Posts
797
Reaction score
2,233
Tunakumbushana.

Uchaguzi wa viongozi wa kanisa utakuwa mwaka huu katika GC Session itakayoketi pale America’s Center Convention Complex, St. Louis, Missouri, USA, session ambayo itarudi katika hali yake ya kawaida ya kuketi kwa siku kumi (10).

Ikumbukwe GC Session ya mara ya mwisho iliketi kwa siku sita pekee (6-11/6/2022). Na sababu ya kufanyika kwa siku sita pekee ni kutokana na changamoto ya Covid-19.

Katika hali ya kawaida, GC Session of SDA church huketi kila baada ya miaka 5 kwa lengo la kujadili katiba ya kanisa (kama kuna cha kuongeza) na kuchagua viongozi wa kanisa.

Kutokea 2022 ni miaka mitatu pekee, sababu ni kwa vile session hiyo ya 2022 initially ilipashwa kuketi 25/6 - 4/7/2020, iliahirishwa kwa changamoto ya covid-19 maana nchi ya Marekani ilikuwa imezuia safari za kuingia nchini kwake hivyo delegates wasingeweza kufika. Session ya 2020 ilipangwa ifanyike 20 - 25/5/2021 lakini nchini Marekani bado kulikuwa na zuio la safari na ndipo ikapangwa kuketi 6 - 11/6/2022.

Kilichofanyika, karibu viongozi wote waliokuwepo kabla ya session hiyo, walirudishwa uongozini na kufanya wengine kutumikia nafasi zao kwa miaka 15 mtawalia (tokea 2010).

Hivyo, uwapo kwenye maombi yako, usisahau kuombea uchaguzi huo na yote yatakayoendelea katika session hiyo.

Sabato Njema.
 
Tunakumbushana.

Uchaguzi wa viongozi wa kanisa utakuwa mwaka huu katika GC Session itakayoketi pale America’s Center Convention Complex, St. Louis, Missouri, USA, session ambayo itarudi katika hali yake ya kawaida ya kuketi kwa siku kumi (10).

Ikumbukwe GC Session ya mara ya mwisho iliketi kwa siku sita pekee (6-11/6/2022). Na sababu ya kufanyika kwa siku sita pekee ni kutokana na changamoto ya Covid-19.

Katika hali ya kawaida, GC Session of SDA church huketi kila baada ya miaka 5 kwa lengo la kujadili katiba ya kanisa (kama kuna cha kuongeza) na kuchagua viongozi wa kanisa.

Kutokea 2022 ni miaka mitatu pekee, sababu ni kwa vile session hiyo ya 2022 initially ilipashwa kuketi 25/6 - 4/7/2020, iliahirishwa kwa changamoto ya covid-19 maana nchi ya Marekani ilikuwa imezuia safari za kuingia nchini kwake hivyo delegates wasingeweza kufika. Session ya 2020 ilipangwa ifanyike 20 - 25/5/2021 lakini nchini Marekani bado kulikuwa na zuio la safari na ndipo ikapangwa kuketi 6 - 11/6/2022.

Kilichofanyika, karibu viongozi wote waliokuwepo kabla ya session hiyo, walirudishwa uongozini na kufanya wengine kutumikia nafasi zao kwa miaka 15 mtawalia (tokea 2010).

Hivyo, uwapo kwenye maombi yako, usisahau kuombea uchaguzi huo na yote yatakayoendelea katika session hiyo.

Sabato Njema.
Sawa na uchaguzi wetu Tanzania ili uwe huru na wa Haki! Sabato NJEMA pia kwako
 
Tunakumbushana.

Uchaguzi wa viongozi wa kanisa utakuwa mwaka huu katika GC Session itakayoketi pale America’s Center Convention Complex, St. Louis, Missouri, USA, session ambayo itarudi katika hali yake ya kawaida ya kuketi kwa siku kumi (10).

Ikumbukwe GC Session ya mara ya mwisho iliketi kwa siku sita pekee (6-11/6/2022). Na sababu ya kufanyika kwa siku sita pekee ni kutokana na changamoto ya Covid-19.

Katika hali ya kawaida, GC Session of SDA church huketi kila baada ya miaka 5 kwa lengo la kujadili katiba ya kanisa (kama kuna cha kuongeza) na kuchagua viongozi wa kanisa.

Kutokea 2022 ni miaka mitatu pekee, sababu ni kwa vile session hiyo ya 2022 initially ilipashwa kuketi 25/6 - 4/7/2020, iliahirishwa kwa changamoto ya covid-19 maana nchi ya Marekani ilikuwa imezuia safari za kuingia nchini kwake hivyo delegates wasingeweza kufika. Session ya 2020 ilipangwa ifanyike 20 - 25/5/2021 lakini nchini Marekani bado kulikuwa na zuio la safari na ndipo ikapangwa kuketi 6 - 11/6/2022.

Kilichofanyika, karibu viongozi wote waliokuwepo kabla ya session hiyo, walirudishwa uongozini na kufanya wengine kutumikia nafasi zao kwa miaka 15 mtawalia (tokea 2010).

Hivyo, uwapo kwenye maombi yako, usisahau kuombea uchaguzi huo na yote yatakayoendelea katika session hiyo.

Sabato Njema.
Oh,, au basiii
 
Tuombe Sana CCM isheendwe otherwise tunaendelea kuteseka aiseeee
 
RAIS ANAPIGIWA NA WAJUMBE WEPI?JE TEDDY WILIAM NAYE ATAKUWEPO KTK KINYANGANYIRO?SABATO NJEMA
 
Tunakumbushana.

Uchaguzi wa viongozi wa kanisa utakuwa mwaka huu katika GC Session itakayoketi pale America’s Center Convention Complex, St. Louis, Missouri, USA, session ambayo itarudi katika hali yake ya kawaida ya kuketi kwa siku kumi (10).

Ikumbukwe GC Session ya mara ya mwisho iliketi kwa siku sita pekee (6-11/6/2022). Na sababu ya kufanyika kwa siku sita pekee ni kutokana na changamoto ya Covid-19.

Katika hali ya kawaida, GC Session of SDA church huketi kila baada ya miaka 5 kwa lengo la kujadili katiba ya kanisa (kama kuna cha kuongeza) na kuchagua viongozi wa kanisa.

Kutokea 2022 ni miaka mitatu pekee, sababu ni kwa vile session hiyo ya 2022 initially ilipashwa kuketi 25/6 - 4/7/2020, iliahirishwa kwa changamoto ya covid-19 maana nchi ya Marekani ilikuwa imezuia safari za kuingia nchini kwake hivyo delegates wasingeweza kufika. Session ya 2020 ilipangwa ifanyike 20 - 25/5/2021 lakini nchini Marekani bado kulikuwa na zuio la safari na ndipo ikapangwa kuketi 6 - 11/6/2022.

Kilichofanyika, karibu viongozi wote waliokuwepo kabla ya session hiyo, walirudishwa uongozini na kufanya wengine kutumikia nafasi zao kwa miaka 15 mtawalia (tokea 2010).

Hivyo, uwapo kwenye maombi yako, usisahau kuombea uchaguzi huo na yote yatakayoendelea katika session hiyo.

Sabato Njema.
Hongereni sana kwa kuwaombea wengine lakini nina ujumbe wako mtoa post

unajua ni ajabu, waislam wanafundisha watu kuwa waislam na wakatoliki wanafundisha watu kuwa wakatoliki pekee na wasabato wanafundisha watu kuwa wasabato pekee, na hivyo hivyo walokole wanafundisha watu kuwa walokole pekee inamaana mfano ukiwa mlokole wewe sio msababto na ukiwa msabato wewe sio muislam hawa wote wanadai kuwa wana connection na mungu lakini ukiwa wafuasi wao tu.

Nimewapima nimeona wote wafuatao madhehebu haya ili kukutana na mungu ni wapotofu na wamepotea mungu atafutwi kwenye usabato au uislam au ulokole au ukatoloki.

Namaanisha haya madhehebu yote hayataokolewa wale watako okolewa hawatakuwa watu wa kawaida hata kidogo kuliko inavyo fikiriwa unabii unawaita "washindi" ni watu wenye hekima nyingi na ufahamu wa hali ya juu na kwasababu ya kweli walio nayo hawakupenda maisha ya yao hata kufa kwao.

mwisho, kama vile unabii usemavyo kama hakuna sehemu inayosema wasabato au walokole au wakatoliki ndio wateule basi kwa hakika hamtaokolewa mme potea tafuteni kweli mtu akiwa na sikio na asikie sasa.
 
Hongereni sana kwa kuwaombea wengine lakini nina ujumbe wako mtoa post

unajua ni ajabu, waislam wanafundisha watu kuwa waislam na wakatoliki wanafundisha watu kuwa wakatoliki pekee na wasabato wanafundisha watu kuwa wasabato pekee, na hivyo hivyo walokole wanafundisha watu kuwa walokole pekee inamaana mfano ukiwa mlokole wewe sio msababto na ukiwa msabato wewe sio muislam hawa wote wanadai kuwa wana connection na mungu lakini ukiwa wafuasi wao tu.

Nimewapima nimeona wote wafuatao madhehebu haya ili kukutana na mungu ni wapotofu na wamepotea mungu atafutwi kwenye usabato au uislam au ulokole au ukatoloki.

Namaanisha haya madhehebu yote hayataokolewa wale watako okolewa hawatakuwa watu wa kawaida hata kidogo kuliko inavyo fikiriwa unabii unawaita "washindi" ni watu wenye hekima nyingi na ufahamu wa hali ya juu na kwasababu ya kweli walio nayo hawakupenda maisha ya yao hata kufa kwao.

mwisho, kama vile unabii usemavyo kama hakuna sehemu inayosema wasabato au walokole au wakatoliki ndio wateule basi kwa hakika hamtaokolewa mme potea tafuteni kweli mtu akiwa na sikio na asikie sasa.
Mkuu, upo nje ya mada.

Hakuna sehemu nilipoandika wasabato ni bora kuliko wengine.

Kukusaidia soma aya zifuatazo.

Yohana 4:20-24
[20]Baba zetu waliabudu katika mlima huu, nanyi husema ya kwamba huko Yerusalemu ni mahali patupasapo kuabudia.
Our fathers worshipped in this mountain; and ye say, that in Jerusalem is the place where men ought to worship.
[21]Yesu akamwambia, Mama, unisadiki, saa inakuja ambayo hamtamwabudu Baba katika mlima huu, wala kule Yerusalemu.
Jesus saith unto her, Woman, believe me, the hour cometh, when ye shall neither in this mountain, nor yet at Jerusalem, worship the Father.
[22]Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.
Ye worship ye know not what: we know what we worship: for salvation is of the Jews.
[23]Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.
But the hour cometh, and now is, when the true worshippers shall worship the Father in spirit and in truth: for the Father seeketh such to worship him.
[24]Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
God is a Spirit: and they that worship him must worship him in spirit and in truth.
 
RAIS ANAPIGIWA NA WAJUMBE WEPI?JE TEDDY WILIAM NAYE ATAKUWEPO KTK KINYANGANYIRO?SABATO NJEMA
Katika hii 62nd GC session, delegates (ambao ndiyo huchagua viongozi), watakuwa 2804, watazamaji katika session hiyo wanatarajiwa kuwa 67,000+
 
Mkuu, upo nje ya mada.

Hakuna sehemu nilipoandika wasabato ni bora kuliko wengine.

Kukusaidia soma aya zifuatazo.

Yohana 4:20-24
[20]Baba zetu waliabudu katika mlima huu, nanyi husema ya kwamba huko Yerusalemu ni mahali patupasapo kuabudia.
Our fathers worshipped in this mountain; and ye say, that in Jerusalem is the place where men ought to worship.
[21]Yesu akamwambia, Mama, unisadiki, saa inakuja ambayo hamtamwabudu Baba katika mlima huu, wala kule Yerusalemu.
Jesus saith unto her, Woman, believe me, the hour cometh, when ye shall neither in this mountain, nor yet at Jerusalem, worship the Father.
[22]Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.
Ye worship ye know not what: we know what we worship: for salvation is of the Jews.
[23]Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.
But the hour cometh, and now is, when the true worshippers shall worship the Father in spirit and in truth: for the Father seeketh such to worship him.
[24]Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
God is a Spirit: and they that worship him must worship him in spirit and in truth.
Ni kweli nipo nje ya mada, ni kweli kabisa kuwa wewe kwenye chapisho lako hujaelezea kuwa wasabato ni bora kuliko wengine.

lakini katika kanisa hilo mafundisho hayo na viapo hivyo vipo hasa kwenye ubatizo kuwa mshiriki rasmi wa kanisa hilo lazima ule kiapo na ukili kanisa hilo kama ndio kanisa pekee la masalio lililobaki kuelekea siku za mwisho wa dunia japo wewe kwenye post hujaelezea haya ila haya ni mambo ambayo yapo.

na sio kwenye usabato tu yapo hata kwenye uislam, ukatoloki na ulokole lazima ukili kanisa hilo ndio ulifuate huku pia yapo vile vile hivyo ninajua fika ninacho kiongea.

Hebu jaribu kuchukulia ujumbe wangu kwa uzito kidogo hivi unaamini biblia na unabii ?
 
Ni kweli nipo nje ya mada, ni kweli kabisa kuwa wewe kwenye chapisho lako hujaelezea kuwa wasabato ni bora kuliko wengine.

lakini katika kanisa hilo mafundisho hayo na viapo hivyo vipo hasa kwenye ubatizo kuwa mshiriki rasmi wa kanisa hilo lazima ule kiapo na ukili kanisa hilo kama ndio kanisa pekee la masalio lililobaki kuelekea siku za mwisho wa dunia japo wewe kwenye post hujaelezea haya ila haya ni mambo ambayo yapo.

na sio kwenye usabato tu yapo hata kwenye uislam, ukatoloki na ulokole lazima ukili kanisa hilo ndio ulifuate huku pia yapo vile vile hivyo ninajua fika ninacho kiongea.

Hebu jaribu kuchukulia ujumbe wangu kwa uzito kidogo hivi unaamini biblia na unabii ?
Fungua mada ya unachojaribu kuwasilisha hapa, katika hiyo mada, niite nitakuja.

Otherwise, asante kwa kuja, ila tubaki kwenye uzi huu.
 
Fungua mada ya unachojaribu kuwasilisha hapa, katika hiyo mada, niite nitakuja.

Otherwise, asante kwa kuja, ila tubaki kwenye uzi huu.
mkuu inaonekana wewe ni negative sana, ninauwezo wa kumfahamu mtu uwezo wake kwa kupitia majibu yake japo nimekusisitiza ni ujumbe unaotakiwa huuchukulie kwa uzito kwa faida yako lakini tangu umeziba masikio yako sitakulazimisha unaonaje basi ngoja niishie hapa.

Cha mwisho nikuambie nime kupima kwenye mzani na nimeona wewe umepungikiwa sana na kweli haimo ndani yako ondoka eneo lako la amani ukatafute kweli kwani watakao okolewa hawatakuwa watu wa kawaida kuliko inavyo fikiliwa na wengi haitokuwa rahisi.
 
Back
Top Bottom