Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Hii barabara si Kenya angalia uelekeo wa gari kulia! Fool usipende kubishana na vitu vya watu!Thika Highway inatoka Nairobi jijini hadi Thika Town, hiyo ni distance ya kilomita 50. Kwenye hiyo highway ya Thika kuna Bypass 3 ambazo zinaunganisha barabara zingine moja kwa moja kwa Thika Highway, bila kupitia jijini Nairobi. Kuna Northern Bypass inaunganisha highway ya Thika na Limuru. Eastern Bypass, Thika na Mombasa Highway. Western Bypass- Ruiru. Kama hivi.Naton Jr tuoneshe vitu kama hivi.
Naona Watanzania wameanzisha uzi kuhusu barabara kuu ya kwenda mji mkuu wa Dodoma ilivyokatika, wewe unahangaika na barabara za Wakenya....
BARABARA YA DODOMA MORO YAKATIKA HAKUNA MAWASILIANO
Unataka aongee kinyamwezi?Sikiliza huyo anayeongea ana deep kikuyu accent! Kama aliye-anzisha hii clip!
Chuki itakuua bure bongolalaCorona, nzige na Al Shabaab watawamalizeni wote nyie nyang'au na vijimajivuno vyenu uchwara.
Imekwisha hiyo.Chuki itakuua bure bongolala
Infrastructure yao ndio mbovu. Ile daraja ya reli ilikuwa nyepesi kama karatasi, ilisombwa na maji. Leo hii barabara pia imesombwa na maji. Hawa watu wasipowacha kujenga class C infrastructure wataumia sana.Afrika huwa tunakwama wapi, yaani daraja kwenye barabara kuu inayounganisha mji mkuu wa Dodoma na Dar linasombwa na mafuriko na kuishia kutotumika siku inaisha, juzi hapa tuliona reli yote imesombwa....
Kweli nyani haoni kundule. Kila siku madaraja na majengo yanabomoka huko Kunyaland. Kwani na hili daraja nalo ni la Tanzania?Afrika huwa tunakwama wapi, yaani daraja kwenye barabara kuu inayounganisha mji mkuu wa Dodoma na Dar linasombwa na mafuriko na kuishia kutotumika siku inaisha, juzi hapa tuliona reli yote imesombwa....
Kweli nyani haoni kundule. Kila siku madaraja na majengo yanabomoka huko Kunyaland. Kwani na hili daraja nalo ni la Tanzania?
ππ
View attachment 1377737
Au haya majengo ni ya Tanzania?
ππ
View attachment 1377739
View attachment 1377740
Halafu ulinganishe na mji wenu wa Nairobi, lango kuu la kuingilia Afrika Mashariki ambako kila siku majengo yaliyojengwa chini ya kiwango yanaporomoka.Linganisha barabara yenu inayotegemewa na mataifa tisa ikiwemo mji mkuu wa Dodoma, unalinganisha na daraja la kijijini kwetu...huna aibu kaka.
lete ya M7Barabara Kama hizo utazipata Kenya, South Africa, Nigeria, Morocco, Egypt, Tunisia, Algeria na Uganda...ama unataka nikuonyeshe za Museveni?
FoolHii barabara si Kenya angalia uelekeo wa gari kulia! Fool usipende kubishana na vitu vya watu!
Nini ya kubomoka Tz?Kweli nyani haoni kundule. Kila siku madaraja na majengo yanabomoka huko Kunyaland. Kwani na hili daraja nalo ni la Tanzania?
ππ
View attachment 1377737
Au haya majengo ni ya Tanzania?
ππ
View attachment 1377739
View attachment 1377740
Kaone πππ
A frustrated Kunyan. Tukianza kuleta picha za Kibera, Kayole, Kawangware, Korogocho na kwingineko hamkawii kulialia humu...Nini ya kubomoka Tz?
View attachment 1378005
Mimi naleta ya Dar es SluumA frustrated Kunyan. Tukianza kuleta picha za Kibera, Kayole, Kawangware, Korogocho na kwingineko hamkawii kulialia humu...
Lilibomoka halikubumoka? Hio ndio main highway?? πKaone πππ
Magari yalishaanza kupita toka jana halafu unatuletea ujinga hapa.