Kwa wadada ambao hamna "msambwanda".....

GOD FORBID...AISEEEE.
UNITIE NJAA YA SAMAKI SATO MKUBWA KILO 1.5 ILE NAINGIA KULA MENU NAKUTANA NA DAGAAA....NAWEZA KUUWA MTU AISEE.
KWANZA LAZIMA DUSHE LILALE KWA MSTUKO NITAOKUTANA NAO.....YANI KAMA UMENUSURIKA KUGONGWA NA TRENI.
BIA NA MISOSI YOTE ULIYOPIGA LAZIMA UITAPIKE...NATAKAGA UJINGA MIE....
 
KISWAHILI INGEITWA "SIDIRIA YA MAKALIO|"

SWALI LA KIZUSHI KWA MLETA UZI.....WEWE UNALO KALIO AU NDIO MTUMIAJI WA HIZO KALIO BUSTERS?
 
Sijipi moyo ila nnajikubali, Wema ana msambwanda ila mpaka Leo hajaigusa ndoa hata ya Majaribio kama sisi wenzie wenye flat image
Mbona alishawahi kuolewa na jumbe usisahau na kwenye bongomovie anaolewaga[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wapi weweeee wanaume wengi tu mnafanyiwa hivi na wala hamgundui
 
We mwalimu wewe....

Naenda kusema kwa mama leo umeongelea matak.o
 
hahah mbona mie nawapaga ushauri tu wateja wangu..!! sema wengine hawawapi..
mlete tu huyo mteja kwa raha zake nimuhudumie,, afu wateja wengine washani-PM wanataka mzigo hahaha
Ndo unipe hela ya castle si unaona nmekutafutia na wateja ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…