Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
- #61
NdioWewe una msambwanda original sio!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioWewe una msambwanda original sio!!
Aaah wapi kujiamini na kujikubali tu.....
Hongera.Ndio
Ebu ni Pm tukutane nikaone kashape kako,maana nyie weus mnakuaga watamu kweliCha muhimu ni kuwa na msimamo tu, ukitaka kufuata kila wanachotaka wanaume mwisho wa siku utajikuta umekuwa kikatoon.
Niko black mwembamba, nimeridhika na rangi yangu na ka shepu kangu though sio ka kutisha sana.
tehe tehe tehe tehe😀😀😀😀😀😀😀
Yani huyo mdada niliemuona alivoku na heka heka anapita pita na vigodoro vyake alikua kituko kwakweli
Joyce wowowo kitambo sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hadi tuwe kama Joyce wowowo
Joyce wowowo kitambo sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Siku hizi hawapiti sana mtaani.
Ha ha ha ha bodi ya uangalizi na ukaguzi wa manunuzi inabidi ikae kusitisha zoezi nakufanya uhakiki asyee sio kwa chura hewa kiasi hikiWanayavua chap chap bila kuonekana
Yani wanaume mnaoneshwa samaki afu mnalishwa dagaa ha ha ha
Ha ha ha ha hatari sana ndio maana insta naona squat posts zimezidi kumbe watu wanatengeneza pistol...sasa mimi ninayejipende viportable na vichuguu vya kiasi si ntakosa vitu vya kuanua siku za usoni...ila niliwahi siki wakitanuliwa marinda vichuguu vinaongezeka faster tu,kwa nini wasitumie hii njiaWatu watakula kama mchwa....
Kuna haya mazoezi tu yanaitwa sijui squat, inasemekana yanaongeza makalio basi ni shida wadada wanakua kama chura huko gym, misambwanda inatesa wanawake
Duh mie mwenye kafrig kakufutia touch si nihatari ntakosa soko
Original kiko tofauti sana huhitaji kugusammh tutaanza kuyabinya tuone kama ni real au fake.... mambo ya sponge hapana
Nunua booty lifter, kigodoro siongei kizuriLeo nina safari ya kariakoo naenda kutafuta kengine haka niliko nako kameanza kuchakaa.Mie nitaendelea tu kuvaa labda kama wanaume waache kuyapenda
hapna mimi nimeridhika hivi hiviUpo mis chaga,? Mzima mpenzi?, ww hua unavaa hizo nikununulie