Nami nimekubaliana nawe kwamba wengi wenu mnajirembesha kuwakoga wanawake wenzetu ili mnyakue mabwana/waume zao.Sio kila anaetaka mwonekano wa tofauti ni kwa ajili ya mwanaume
Aiseh nimekupenda bureeee. Lait km wanawake wote wangekuwa na hakili km hii kesi za kuvunjika ndoa zisingelikuwepo[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Wana kazi wanaotafuta kuwapendeza watu.
Hivi, kujibebesha vitu vyote hvo unatafuta nn na ili iweje? Kama ni kupendwa unataka wangapi wawe wako na ili iweje???
Mwanamke n kujiamini na kujikubali, kuna anayekupenda ulivyo hivyo.
Au vipi jaman?????????????????
kugusa [emoji118] [emoji15] [emoji15] labda 7bu ni mama kubwa ... tukigusa akina sie c tutatobolewa macho [emoji1] [emoji1]Siamini kama kuna hivyo vitu mpaka nije kuviona na kugusa.
[emoji134] [emoji134] wanachoma matiti .... sasa tutanyonya wapi yakichomeka? .... hawatutakii wema hao ...Ndio hiyo wanachoma kwenye makalio na matiti.
hadi bikira kawashangaa [emoji1] [emoji1]Aisee
Si ajabu we kiushundu kipo ndio maana umeridhika[emoji1]hapna mimi nimeridhika hivi hivi
Kama umesikitika jinyonge maana hakuna namnaKatika huu uzi wako hakuna sehemu yeyote uliyotumia neno chura,nimesikitika sana![emoji30]
hakipo ndiyo maana sitakiSi ajabu we kiushundu kipo ndio maana umeridhika[emoji1]
ha ha ha,sasa wanaovitaka si wale wasio navyohakipo ndiyo maana sitaki
mimi napenda hivi size zote zinafaa kwa style yoyote tehha ha ha,sasa wanaovitaka si wale wasio navyo
Hujawahi kuoneshwa samaki afu ukalishwa dagaa? 😀Makubwa tena haya
enzi zile ukionyeshwa samaki ni samaki, dagaa ni dagaa!! Enzi hizi ndio naishia kusikia tu hizi taarifa, nitaomba kibali kwa My Wife wangu nifanye haka kautafitiHujawahi kuoneshwa samaki afu ukalishwa dagaa? 😀
Sasa inakuwaje thread yake inahusu mambo ya chura hafafu neno chura halionekani popote??[emoji30] ......huo ni ustaarabu kweli?[emoji17]Kama umesikitika jinyonge maana hakuna namna
Nimecheka sana!Hizo sponge zipo, mdada mwingine hapa juzi kanionesha duh tight lina mahips teh nikamuuliza kwahiyo ukifika kwa shem lake unasasambuaje, akasema bwana ake hajui hayo mambo anajua ni tight tu.....asee wanaume wanadorishiwa misamaki wakifika geto wanalishwa vidagaa
Umeona enh,portable unakunjika mikao yote kiurahisi zaidi,shughuli yake inakuwa si ya kitoto na ataiwe nchi ngapi inazima kukunamimi napenda hivi size zote zinafaa kwa style yoyote teh
Umeona enh,portable unakunjika mikao yote kiurahisi zaidi,shughuli yake inakuwa si ya kitoto na ataiwe nchi ngapi inazima kukuna