Kwa wadada ambao hamna "msambwanda".....

Kwa wadada ambao hamna "msambwanda".....

Wana kazi wanaotafuta kuwapendeza watu.
Hivi, kujibebesha vitu vyote hvo unatafuta nn na ili iweje? Kama ni kupendwa unataka wangapi wawe wako na ili iweje???
Mwanamke n kujiamini na kujikubali, kuna anayekupenda ulivyo hivyo.
Au vipi jaman?????????????????
Kweli
 
Yote hayo yamekuja iv majuzi miaka ile hayakuwepo eti Chura,Mara. Msambwanda, ila Mungu atusaidie sana me nahitaji mwanamke awe Normal kabisa kama alivyoumbwa na Mola kwa kuwa kila kitu kinasababu zake
 
Sina uhakika ila nadhani inakua kama bikini tu, bikini haileti kero

Kweli. Ila tatizo la bikini huwa zinawachora kamstari fulani hivi ngozi inakuwa na rangi mbili, kanaonekana sana kwenye doggy style
 
A ni tight yenye kisponge ndani.
Ikivaliwa haikai vizuri, sponge inaweza kukaa upande hivo tako moja liwe juu, jingine chini, au sponge zikajikusanya kifupi haipendezi

B. Ni tight yenye matundu kama unavoiona inaitwa butty lifter nadhani.
Yenyewe haiongezi matako ila inafanya yawe na mwonekano mzuri make yanapigwa tu jeki
Unafaa kuwa Mwalimu,ila usitupigie watt wetu
 
halaf bado hamtaki kuamini tu kuwa hawa watu tumeumbiwa sisi tuburudike! haki sawa na fifty fifty sijaona mantiki yake bado
 
kali hii kuna uwezekano wauzaji wamekaa na kuwaza wadada wengi akili zao ziko matakoni tu
 
Hakuna za wanaume chikondee tunaokufa kwa kiu ya six packs?....
 
Wakati wengine wanavaa bullet proof wengine misponge ya kuongeza makalio hatari sana! nimekubali kila kitu namazingira yake
 
Kwani hakuna misosi ya kula nakuinua kitonga,nahis wataalam wakalale maabara hapa kunafursa ...
 
Back
Top Bottom