Kwa wadada ambao hamna "msambwanda".....

Kwa wadada ambao hamna "msambwanda".....

Good morning jf.....

Kama tujuavo tuko kwenye zama za misambwanda, mahaga, kitonga, wowowo na majina mengine kibao yatumikayo..... Wanawake wasiokuwa nayo wanajikuta katika wakati mgumu sana, nao wanatamani kupainua inua kuvutia utalii wa ndani na wa nje.
Leo nimejisikia tu kuwashauri watumiaji wa hii kitu

View attachment 428643

Sponge au vigodoro, asee hii kitu haiwapendezi hata kidogo, kuna dada majuzi kwenye sherehe alikuwa kavaa kigodoro alikua ni kituko yani nadhani akili yake ilikua inamwambia huku nyuma ana kakitonga flani hivi ila mmmh yani kigauni cha mpira anaonekana kabisa kavaa sponge vitako vimekaa vibaya
Mwingine nae mara upande moja liko juu upande mwingine lipo chini.

Nawashauri kwanini msitumie hii
View attachment 428648
Nahisi ukiivaa unakua comfortable, tako linakaa vizuri na linanyanyuliwa tu hakutakua na moja juu jingine chini.
Ni hivo tu.
Hatari lakini salama wanawake tunahangaika.
 
Kwani hakuna misosi ya kula nakuinua kitonga,nahis wataalam wakalale maabara hapa kunafursa ...
Wataalam wameshalala maabara ndio wakaleta silicone injection kwa mwenye kupenda ya kudumu.
kama ya muda mfupi ndio hivyo vigodoro vya kuvaa na kuvaa.
 
Wataalam wameshalala maabara ndio wakaleta silicone injection kwa mwenye kupenda ya kudumu.
kama ya muda mfupi ndio hivyo vigodoro vya kuvaa na kuvaa.
Hiyo ndo ile ya kuongezewa mafuta kwenye makalio na nyonyoz?
 
hivi vigodoro wadada wanakoseaga sehemu moja tu..mie naviuza vina size na size! sasa ujikute wewe una umbo la betina alafu ununue la zena lazima uchemke!!! Vitako vitakaa juu chini kama mbuzi wa hitma!!! hahah..aisee Evelyn salt usiniaharibie biashara nitawakosa wateja tehteh
 
Dah! Umenikumbusha mbali aiseee! Kuna mdada mmoja hivi alikuwa anaishi Sinza kila tukienda lodge kugegedana kila nikitaka kumvua anakataa kata kataa...yan! Nikisema ning'ang'anize nimuvue ghafla ana change na kugairi mgegedo. Na km tumekumbatiana nikitaka kugusa makalio fasta mikono yang anaidaka. Kuvua na kuvaa alikuwa akienda chooni. Ss ck ya cku alikuja kuumbuka vibaya dah! I cnt 4 get hadi Kuniangalia usoni akawa anaona aibu...aseee..!!
 
hivi vigodoro wadada wanakoseaga sehemu moja tu..mie naviuza vina size na size! sasa ujikute wewe una umbo la betina alafu ununue la zena lazima uchemke!!! Vitako vitakaa juu chini kama mbuzi wa hitma!!! hahah..aisee Evelyn salt usiniaharibie biashara nitawakosa wateja tehteh
Ha ha ha ha ha ha ha
Yani huyo nliemuona ni mwembamba hana hips hana tako, kavaa kigodoro kimekua kama vile over size 😀😀😀

Mwingine nlimuona kibonge ye alikua akitembea kinashuka ha ha ha
Wanawake tuna mambo.
Basi uwe unatoa ushauri kwa wateja wako asee
 
Dah! Umenikumbusha mbali aiseee! Kuna mdada mmoja hivi alikuwa anaishi Sinza kila tukienda lodge kugegedana kila nikitaka kumvua anakataa kata kataa...yan! Nikisema ning'ang'anize nimuvue ghafla ana change na kugairi mgegedo. Na km tumekumbatiana nikitaka kugusa makalio fasta mikono yang anaidaka. Kuvua na kuvaa alikuwa akienda chooni. Ss ck ya cku alikuja kuumbuka vibaya dah! I cnt 4 get hadi Kuniangalia usoni akawa anaona aibu...aseee..!!
Sasa si bora angekua akifika anavua fasta fasta kabla hujamuona ha ha ha
 
Good morning jf.....

Kama tujuavo tuko kwenye zama za misambwanda, mahaga, kitonga, wowowo na majina mengine kibao yatumikayo..... Wanawake wasiokuwa nayo wanajikuta katika wakati mgumu sana, nao wanatamani kupainua inua kuvutia utalii wa ndani na wa nje.
Leo nimejisikia tu kuwashauri watumiaji wa hii kitu

View attachment 428643

Sponge au vigodoro, asee hii kitu haiwapendezi hata kidogo, kuna dada majuzi kwenye sherehe alikuwa kavaa kigodoro alikua ni kituko yani nadhani akili yake ilikua inamwambia huku nyuma ana kakitonga flani hivi ila mmmh yani kigauni cha mpira anaonekana kabisa kavaa sponge vitako vimekaa vibaya
Mwingine nae mara upande moja liko juu upande mwingine lipo chini.

Nawashauri kwanini msitumie hii
View attachment 428648
Nahisi ukiivaa unakua comfortable, tako linakaa vizuri na linanyanyuliwa tu hakutakua na moja juu jingine chini.
Ni hivo tu.
Nahitaji hii kitu aisee....nicheck pm tufanye business
 
Good morning jf.....

Kama tujuavo tuko kwenye zama za misambwanda, mahaga, kitonga, wowowo na majina mengine kibao yatumikayo..... Wanawake wasiokuwa nayo wanajikuta katika wakati mgumu sana, nao wanatamani kupainua inua kuvutia utalii wa ndani na wa nje.
Leo nimejisikia tu kuwashauri watumiaji wa hii kitu

View attachment 428643

Sponge au vigodoro, asee hii kitu haiwapendezi hata kidogo, kuna dada majuzi kwenye sherehe alikuwa kavaa kigodoro alikua ni kituko yani nadhani akili yake ilikua inamwambia huku nyuma ana kakitonga flani hivi ila mmmh yani kigauni cha mpira anaonekana kabisa kavaa sponge vitako vimekaa vibaya
Mwingine nae mara upande moja liko juu upande mwingine lipo chini.

Nawashauri kwanini msitumie hii
View attachment 428648
Nahisi ukiivaa unakua comfortable, tako linakaa vizuri na linanyanyuliwa tu hakutakua na moja juu jingine chini.
Ni hivo tu.
kwa mtindo huu, sitaacha kula tigo.
 
Hivi ninyi wanawake nani kawaambia michura yenu inapendwa sa-a-na? Hamjui wanaume wanawasanifu wapige hit and run waishie? Ukitaka kujua ndio hivyo angalia bibi harusi. Ni wachache sana wenye miwowowo lakini ndio waliopendwa mpaka kuolewa
Kwa kuongezea, watatembezwa nusu uchi wanaoolewa ni wavaa madela.

Kina dada endeleeni na kujirembesha kwa viungo bandia mtaolewa siku moja na kuachika siku hiyohiyo (hit and run).

Lakini ukweli mwapendeza mbele ya wanawake wenzenu na kuwachochea wivu ila mbele ya wanaume ni "sexy items" tu.

WANAWAKE WAJITAMBUE SASA UMBILE LA MUNGU NDIYO HAKI YAKO
 
Kwa kuongezea, watatembezwa nusu uchi wanaoolewa ni wavaa madela.

Kina dada endeleeni na kujirembesha kwa viungo bandia mtaolewa siku moja na kuachika siku hiyohiyo (hit and run).

Lakini ukweli mwapendeza mbele ya wanawake wenzenu na kuwachochea wivu ila mbele ya wanaume ni "sexy items" tu.

WANAWAKE WAJITAMBUE SASA UMBILE LA MUNGU NDIYO HAKI YAKO
Sio kila anaetaka mwonekano wa tofauti ni kwa ajili ya mwanaume
 
Back
Top Bottom