MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,057
- 39,387
aahhahhaa wewe nikikupa lift utakataaaa
wewe unanipa lifti kivip wakati chako changu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aahhahhaa wewe nikikupa lift utakataaaa
Miss chagga mmh unatamani upaja wa mwanamke mwenzio!makubwa.
Hahahahahah!kwani ajabu ipi,au hata k hujawahi kupata ya bure?
Ulitaka apewe na mwanaume mwenzie
Ahhhhhaawewe unanipa lifti kivip wakati chako changu
Mkuu Tarime one fanya fanya bwana upate hata kibaiskeli ili ujiepushe na hayo majaribu....au kama hautojali niwe nakupitia na baiskeli yangu..........
mwanaume mzima unapewa lifti na demu
Wewe upaja kweli,kuna ile aina ya mapaja yenye vidot vidot vidogo kama anahisi baridi vile afu very smooth.
inasikitisha Tarime one.....
Kwan kupewa lift dhambi?Acha ushamba
Kweli jibane bane bwana...mwenzio juzi juzi tu hapa nimenunua phoenix mpyaaaaaaaaa...gharama yako ni taulo kwa ajili ya kufutia majasho si unajua ile mashine injini ni kiunpo chako......safari za morogoro sijui DODOMA na TANGA huwa haziniumizi kichwa.......Ahsante,leo baiskeli yangu ilipata mafua sababu ya mvua,itabidi nitafute nyingine faster.
Nimeishashuhudia hii hali ya kinadada wanapodrive unakuta wanajiachia paja zao wazi mara kibao tu,hapa nimepata lifti kwenye Gari ya jirani yangu tunaelekea Posta.Kajiachia dah, hivi nikawaida yenu au.
Sasa wewe umefuata lifti au upaja.....
Uliyoyakuta garini yaache garini
Badala ya kuangalia upaja kuwa busy na simu yako tehtehteh
Au ulikua wewe,kama nakufananisha vile,usitutie majaribuni,sorry macho yangu yana kengeza.
Comments zako huniacha kwenye dilemma!