Kwa wadada wenzangu: tuwe makini na aina hii ya wanaume.......

Hili ndio tatizo lako dearest mambo ya moyo hayaendani na logic follow your heart stop using your head in matters of love.

Ohoo nisitumie kichwa alafu nikiumizwa nikiadhibu kwa kukigonga ukutani?Gd nite dearest!MWUAAAHHH!
 
Mimi kwa upande wangu naona hizi sifa zipo kwa wanawake zaidi kwasababu;

1. Wanawake pengine ndio wanapenda sana kuharakisha suala la ndoa. Umekutana nae tu leo, kesho nataka kuolewa. So the best way ni kumfanya aamini na kumuwekea mazingira ya kuamini kwamba mtakua na famila nzuri, mtaenda kutembea n.k.

2. Pia ujue katika mahusiano wakati mwingine huwa inakua ngumu kuchukua muda mrefu kuchunguzana bila kujikuta mmeanguka katika mapenzi na hatimaye ngono )normaly chemistry goes fast that common sense in relationship). Unajua mapenzi yanapoanza kikubwa huwa ni kuvutiwa na mwenzio. Sasa kama mwenzio anakuahidi kila kitu ambacho ulikua unakitegemea kwa nini umhisi vibaya? Vipi kama wewe dada ndio umebadilika au baada ya muda imegundulika hauna vile vigezo vilivotarajiwa? Hapa utamlaumu mwanaume?

3. Huu ushauri umewalenga wanaume kwa kuona kwamba wanaume ni wadhalimu sana katika sauala zima la mepenzi, vipi kuhusu akina dada ambao nao hudanganya? Husema uongo na kupoteza muda, fedha na rasilimali za wanaume?

Anyway, it is difficult to strike a balance between men and women when it comes to relationship matters bse everyone sees it in a different angles and emotions normally override logic sometimes.
 

Kung'ang'ania ni kielelezo cha kutaka ngono tu na siyo kitu kingine. Mapenzi hayang'ang'aniwi bwana. You know, mapenzi is a two-way thing kwa maana kwamba ukimpenda msichana nae kama anakupenda it won't take time. Lakini ukiona unatongoza mwanamke mwaka mzima anakuzungusha lazima ujue hapo hakuna mapenzi. Na kinachomfanya mwanaume aendelee kumfuata msichana ni tunda tu hakuna kingine. Dada zangu kuweni macho hapo!
 
Hayo maneno huku juu mengine kweli mengine sio kweli,love is very complicated,unaweza kujikuta umependa tu ghafla na ukatupa kila kitu chako pembeni ukawa kama mgonjwa wa akili vile,wanaume wako kila style na nivigumu kuwafahamu,hapo maelezo yako bado hujamchambua mwanamme,umeeleza kwa ubaya tu ila wema hukuueleza,sas aushauri gani huo ulio utoa ?

Mimi experiance yangu naweza kusema mtu anaweza kukupenda just one day,inawezekana,na mtu huyo akawa ana nia safi kabisa,unajua wakati mwengine unaweza penda mtu hata jina usiulize ,,,na hata ukilijua basi hata la baba usilitambuee na unaweza ikapita miaka hamuja funga ndoa just relationship.

Dada nanona mawazo yako mgando kabisa...mi nawashauri ukipenda wala usisite ukitaka kumjua mtu dai cv tu,hahahaha
 

inabid tuanze kuita JF university ni zaid ya darasa
 
i think we ought to work together.....but if you do not keep promises, you dissapear and come back after sometime.....how am i suppose to work with you to build something out of the so called "LOVE?"

Michelle,

Asante kwa maelezo yako mazuri. Kwa upande wangu naona umezungumzia mapenzi ya wanawake wanaotafuta kupata kitu fulani kutoka kwa mwanaume na wala sio mapenzi. Kama unampenda mtu kutoka moyoni, hizo ahadi za vitu ni immaterial kabisa!!! Kwa mtindo wa kuhaidiwa vitu ndio umkubali mwanaume, then wewe mwenyewe unakuwa umejiingiza mtegoni na wala huna mapenzi na huyo mwanaume bali unachotaka na kufuata kwake ni hivyo alivyokuahidi. Kwa kuwa wanawake wengi sasa hivi hawana mapenzi ya kweli bali wanataka mali na vitu, then wanaume nao wanalazimika kudanganya ili kuwapata kiurahisi kwa kuwa wanajua wanawake wa sasa wanataka nini?

Hubiri mapenzi ya kweli!!!!

Tiba
 

asante kwa mawazo yako fresh.....
 

Basi wasiwe wanaahidi....kumbuka hapa siongelei zawadi... as in material things.....naongelea ahadi yoyote ile....na lack of consistency....

ingekuwa vizuri wewe unayejua mapenzi ya kweli utuhubirie.....tutashukuru!!!
 
Asante sana da Michelle kwa ushauri! Mungu akubariki sana! tunatendwa sana wadada na hawa jamaa, nimejifunza sana!
 

Hi Tibaigana, oooh sorry Tibaijuka mmmmh
 

Oyeah tutake radhi, sio wanawake wote wanaharakisha ndoa, kwanza wengine mwanaume ni by the way.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…