Kwa wadada wenzangu: tuwe makini na aina hii ya wanaume.......

Kwa wadada wenzangu: tuwe makini na aina hii ya wanaume.......

Wa kwanza anakuacha, hewala tutasema ulikuwa huna uzoefu, wa pili akakuacha tutasema hewala kosa si kosa, kosa kurudia kosa, huyo wa tatu mmh, tutasema hujazinduka usingizi. Lakini wa nne pia ndugu yangu akuache! hapana not fair, hakikisha unamuacha kabla hajakuacha, ukiona mawingu mazito meusi jua mvua i njiani, tafuta muamvuli mapema usijeyeshewa.

Jifunze kuacha Michelle.

kwa kweli......bora umekuwa straightforward Freema....manake napotezaga muda mwingi sana kulazimisha mambo....!!!!!!!!!!
 
kwa kweli......bora umekuwa straightforward Freema....manake napotezaga muda mwingi sana kulazimisha mambo....!!!!!!!!!!

Nitakuadhibu kwa huko kulazimisha, live free life. Wa kwako yupo tu, yule ambaye Mungu alitoa ubavu wako kwake, huyo hawezi kukuacha , ni ile tunasema no matter what. Ile ya kiJLo!
 
Nitakuadhibu kwa huko kulazimisha, live free life. Wa kwako yupo tu, yule ambaye Mungu alitoa ubavu wako kwake, huyo hawezi kukuacha , ni ile tunasema no matter what. Ile ya kiJLo!

sipendi kuwa single....huyo ubavu wangu nimemsubiri weee hadi nimechoka naishia kufikiria wapita njia ndo ubavu wangu....JLO tunafanana tu yule.....naye kapita kwingi...ila nampenda waga halazimishi mambo.....usiniadhibu jamani,nisaidie kama unaweza.....l.o.l
 
sipendi kuwa single....huyo ubavu wangu nimemsubiri weee hadi nimechoka naishia kufikiria wapita njia ndo ubavu wangu....JLO tunafanana tu yule.....naye kapita kwingi...ila nampenda waga halazimishi mambo.....usiniadhibu jamani,nisaidie kama unaweza.....l.o.l


Mmmmh, sijui nikupe msaada gani mpendwa. Yaani unaingia kwenye mahusiano kwa vile hupend tu kuwa single! Hawa wenzetu wakishajua uko desperate basi ni vituko.

Naomba nikupe wazo, accept kuwa single - hata kama ni for rest of yourlife, treat yourself well utaondoa mafree radical mwilini ambayo labda ndio yanakufanya usidumu kwenye mahusiano, usifall haraka kwenye kuanzisha uhusiano mpya kabla majeraha ya uhusiano mmoja hayajaisha, though usiwe ant social wa wala usisocialise too much. Watch people who you are going out with. Usiwe best friend na aliyeolewa kwa kutakufanya utamani kuolewa hata na wrong person.

Pole mwaya, been there too.
 
sipendi kuwa single....huyo ubavu wangu nimemsubiri weee hadi nimechoka naishia kufikiria wapita njia ndo ubavu wangu....JLO tunafanana tu yule.....naye kapita kwingi...ila nampenda waga halazimishi mambo.....usiniadhibu jamani,nisaidie kama unaweza.....l.o.l

Dearest kua single hakuui bwana!!It's actually pretty good for the mind!!!Unapata muda wa kua mwenyewe na kutafakari...kupumzika na kujipenda!!!Jaribu uone raha yake!!!
 
Dearest kua single hakuui bwana!!It's actually pretty good for the mind!!!Unapata muda wa kua mwenyewe na kutafakari...kupumzika na kujipenda!!!Jaribu uone raha yake!!!

Leo naomba nitofautiane na wewe hapo!!
si kweli kama ukiwa single unapata hivyo.. tafiti zinaonesha ni kinyume na hivyo..labda una data za kuthibitisha..

ni maneno tu ya kujifariji kwa singles.. lakini ukweli uko palepale, stress,pressure,kutokujiamini, nk
 
Mmmmh, sijui nikupe msaada gani mpendwa. Yaani unaingia kwenye mahusiano kwa vile hupend tu kuwa single! Hawa wenzetu wakishajua uko desperate basi ni vituko.

Naomba nikupe wazo, accept kuwa single - hata kama ni for rest of yourlife, treat yourself well utaondoa mafree radical mwilini ambayo labda ndio yanakufanya usidumu kwenye mahusiano, usifall haraka kwenye kuanzisha uhusiano mpya kabla majeraha ya uhusiano mmoja hayajaisha, though usiwe ant social wa wala usisocialise too much. Watch people who you are going out with. Usiwe best friend na aliyeolewa kwa kutakufanya utamani kuolewa hata na wrong person.

Pole mwaya, been there too.

asante sana kwa ushauri mzuri.....ubarikiwe my dear....glad you have bn there ndo maana unanielewa....will change and accept the reality....
 
Dearest kua single hakuui bwana!!It's actually pretty good for the mind!!!Unapata muda wa kua mwenyewe na kutafakari...kupumzika na kujipenda!!!Jaribu uone raha yake!!!

huo muda nimekuwa nao sana Lizzy...its time,i move on......i have learnt my lessons and heal some wounds kwa kiasi.....:decision:
 
Michelle wangu am vere vere sorry kama nimekuudhi naomba unisamehe kwa kuvuka mpaka:A S-rose:
 
Michelle wangu am vere vere sorry kama nimekuudhi naomba unisamehe kwa kuvuka mpaka:A S-rose:

Hujaniudhi Uporoto wangu....ukweli wa Mungu,am just ok with you....lile ni suala dogo sana.....!!!!!!!!!
 
ni maneno tu ya kujifariji kwa singles.. lakini ukweli uko palepale, stress,pressure,kutokujiamini, nk

How is MYSELF for statistics?Kua single hakumnyimi mtu anaejiamini kujiamini!Wala hakumpi mtu stress unless huyo mtu anatumia kuwa kwake single kujishusha thamani!Na pressure haiji unless mtu anaona yuko single kwasababu hamna mtu anaemtaka na sio kwasababu amependa kua single!
 
huo muda nimekuwa nao sana Lizzy...its time,i move on......i have learnt my lessons and heal some wounds kwa kiasi.....:decision:

Well kama uko tayari ni kiasi cha kumpata prince wako dearest!Nakuombea aje soon upate furaha!
 
Well kama uko tayari ni kiasi cha kumpata prince wako dearest!Nakuombea aje soon upate furaha!
Dearest maprince wenyewe si ndio hawa wa kina Uporoto unaowaondoa kwenye kinyang'anyiro lol!
 
Dearest maprince wenyewe si ndio hawa wa kina Uporoto unaowaondoa kwenye kinyang'anyiro lol!

Hehehe Uporoto my darling wewe ni chura!Mpaka upewe busu na princess wako ndo utakua prince!
 
Back
Top Bottom