Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
endelea kijidanganya...tutapigwa BAN la mwaka na JF itaendelea tu....!!! mi niko lonely na broke,hapa ndipo panaponipa nafuu ya maisha...usiniponze kabisa Kloro....please.....!!!
Tuanzishe biashara dearest...siku hizi kuishiwa kumegeuka ugonjwa wa kuambukiza!