Hii kitu nimeiona hasa kwa wanaume ambao ni wakimya/wapole, mara nyingi huwa hawana bahati ya kupata wanawake wazuri, huwa wanawapata wale machakaramu ambao huwafanya kama wajinga. Japo jamaa huwa wanawapenda sana wake zao.
Nishashuhudia kuna wengine wanavumilia na kuamua kuacha wake zao (nimeshudia ndoa mbili), tena moja jamaa kamuachia mke kila kitu sababu mwanamke alikuwa akimsaliti na alishamfumania mara mbili. Mara ya pili jamaa akaamua kusonga mbele, mwanamke akijifanya mbabe kwamba apewe kila kitu mwana akamuachia. Sasa hivi mwana yupo vizuri mkewe anahali mbaya.
Sasa hii imetokea mwanzoni mwa mwaka huu, kuna jamaa mmoja ni Muhasibu, jamaa ni mkimya, mpole, mstaarabu, na huwa hana mambo mengi. Ana mkewe ambaye mzuri kusema kweli, nyama anazo. Jamaa kamfungulia mkewe kampuni ya mapambo na mapishi, ila yule mwanamke anamwendesha sana na kumletea dharau.
Sasa hapo mtaani kuna jamaa anaduka, huyu muuza duka kwao wamebarikiwa rangi weupe yeye na dada zake. Basi yule mwanamke akaanzisha huhusiano na muuza duka, tena hilo duka lenyewe lipo nyumba ya tatu na walipo panga. Imeenda, kuna wana wakamwambia, ila yule jamaa haku-react ile kumuonyeshea mkewe amekasirika na anajua kinacho endelea yeye na muuza duka.
Jamaa akawa mkimya, watu walitegemea labda atajibu kwa kumpiga au kumkanya yule muuza duka au kumtimua mkewe ila hakufanya hivyo. Kwahiyo watu wakahitimisha jamaa ni kafanyiwa madawa ya kienyeji. Halafu jamaa tokea amuoe mkewe miaka mitano hawajapata mtoto, bado jamaa anamvumilia pamoja na ujinga anaomfanyia.
Hii imeenda enda yule muuza duka dada yake akapaata mimba, kubanwa akasema mimba ni ya yule jamaa ambaye kaka yake anamgongea mkewe. Yaani hapa kitaa jamaa kaacha historia, kumbe kisasi chake yeye alikuwa anakitafuta kimya kimya. Mkewe alichanganyikiwa na mtaa walihama mwezi uliyofuatia wakatafuta nyumba nyingine.
Nishashuhudia kuna wengine wanavumilia na kuamua kuacha wake zao (nimeshudia ndoa mbili), tena moja jamaa kamuachia mke kila kitu sababu mwanamke alikuwa akimsaliti na alishamfumania mara mbili. Mara ya pili jamaa akaamua kusonga mbele, mwanamke akijifanya mbabe kwamba apewe kila kitu mwana akamuachia. Sasa hivi mwana yupo vizuri mkewe anahali mbaya.
Sasa hii imetokea mwanzoni mwa mwaka huu, kuna jamaa mmoja ni Muhasibu, jamaa ni mkimya, mpole, mstaarabu, na huwa hana mambo mengi. Ana mkewe ambaye mzuri kusema kweli, nyama anazo. Jamaa kamfungulia mkewe kampuni ya mapambo na mapishi, ila yule mwanamke anamwendesha sana na kumletea dharau.
Sasa hapo mtaani kuna jamaa anaduka, huyu muuza duka kwao wamebarikiwa rangi weupe yeye na dada zake. Basi yule mwanamke akaanzisha huhusiano na muuza duka, tena hilo duka lenyewe lipo nyumba ya tatu na walipo panga. Imeenda, kuna wana wakamwambia, ila yule jamaa haku-react ile kumuonyeshea mkewe amekasirika na anajua kinacho endelea yeye na muuza duka.
Jamaa akawa mkimya, watu walitegemea labda atajibu kwa kumpiga au kumkanya yule muuza duka au kumtimua mkewe ila hakufanya hivyo. Kwahiyo watu wakahitimisha jamaa ni kafanyiwa madawa ya kienyeji. Halafu jamaa tokea amuoe mkewe miaka mitano hawajapata mtoto, bado jamaa anamvumilia pamoja na ujinga anaomfanyia.
Hii imeenda enda yule muuza duka dada yake akapaata mimba, kubanwa akasema mimba ni ya yule jamaa ambaye kaka yake anamgongea mkewe. Yaani hapa kitaa jamaa kaacha historia, kumbe kisasi chake yeye alikuwa anakitafuta kimya kimya. Mkewe alichanganyikiwa na mtaa walihama mwezi uliyofuatia wakatafuta nyumba nyingine.