Kwa wadada zangu ambao waume zenu wakimya/wapole msiwafanye na kuwaona wajinga

Kwa wadada zangu ambao waume zenu wakimya/wapole msiwafanye na kuwaona wajinga

kamba0719

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2018
Posts
804
Reaction score
1,906
Hii kitu nimeiona hasa kwa wanaume ambao ni wakimya/wapole, mara nyingi huwa hawana bahati ya kupata wanawake wazuri, huwa wanawapata wale machakaramu ambao huwafanya kama wajinga. Japo jamaa huwa wanawapenda sana wake zao.

Nishashuhudia kuna wengine wanavumilia na kuamua kuacha wake zao (nimeshudia ndoa mbili), tena moja jamaa kamuachia mke kila kitu sababu mwanamke alikuwa akimsaliti na alishamfumania mara mbili. Mara ya pili jamaa akaamua kusonga mbele, mwanamke akijifanya mbabe kwamba apewe kila kitu mwana akamuachia. Sasa hivi mwana yupo vizuri mkewe anahali mbaya.

Sasa hii imetokea mwanzoni mwa mwaka huu, kuna jamaa mmoja ni Muhasibu, jamaa ni mkimya, mpole, mstaarabu, na huwa hana mambo mengi. Ana mkewe ambaye mzuri kusema kweli, nyama anazo. Jamaa kamfungulia mkewe kampuni ya mapambo na mapishi, ila yule mwanamke anamwendesha sana na kumletea dharau.

Sasa hapo mtaani kuna jamaa anaduka, huyu muuza duka kwao wamebarikiwa rangi weupe yeye na dada zake. Basi yule mwanamke akaanzisha huhusiano na muuza duka, tena hilo duka lenyewe lipo nyumba ya tatu na walipo panga. Imeenda, kuna wana wakamwambia, ila yule jamaa haku-react ile kumuonyeshea mkewe amekasirika na anajua kinacho endelea yeye na muuza duka.

Jamaa akawa mkimya, watu walitegemea labda atajibu kwa kumpiga au kumkanya yule muuza duka au kumtimua mkewe ila hakufanya hivyo. Kwahiyo watu wakahitimisha jamaa ni kafanyiwa madawa ya kienyeji. Halafu jamaa tokea amuoe mkewe miaka mitano hawajapata mtoto, bado jamaa anamvumilia pamoja na ujinga anaomfanyia.

Hii imeenda enda yule muuza duka dada yake akapaata mimba, kubanwa akasema mimba ni ya yule jamaa ambaye kaka yake anamgongea mkewe. Yaani hapa kitaa jamaa kaacha historia, kumbe kisasi chake yeye alikuwa anakitafuta kimya kimya. Mkewe alichanganyikiwa na mtaa walihama mwezi uliyofuatia wakatafuta nyumba nyingine.
 
Hakuna upole wa kuvumilia upumbavu.

Kila kitu kina kipimo chake ukikizidisha
kinakuwa ni upumbavu.

Upole ukizidi unakuwa upumbavu .

Ukorofi ukizidi una kuwa upumbavu.

Upendo ukizidi una kuwa upumbavu.

Mwanaume kuruhusu mkeo akupande kichwani kwa kigezo cha upole huo ni upumbavu
 
Kwahiyo dada wa muuza duka ndio katumiwa kama wa kulipizia kisasi?
Inawezekana ikawa imemuumiza mke wa jamaa, lakini huyo muuza duka kaathirika vipi? hajagongwa yeye, dada yake kapata utamu na mimba juu. Na yeye bado amebaki kama kidume kilichomngongea jamaa mkewe.

Ingeleta raha endapo angemchapia mangi mke wake na mimba juu.
 
Duu jamaa hakutaka kumuumiza mkewe physically bali alitaka kumuumiza kihisia,tena huyo binti kushika mimba ni kitu ambacho kitamtesa sana mkewe,daah ila mwana..............
 
Kwahiyo dada wa muuza duka ndio katumiwa kama wa kulipizia kisasi?
Inawezekana ikawa imemuumiza mke wa jamaa, lakini huyo muuza duka kaathirika vipi? hajagongwa yeye, dada yake kapata utamu na mimba juu. Na yeye bado amebaki kama kidume kilichomngongea jamaa mkewe.

Ingeleta raha endapo angemchapia mangi mke wake na mimba juu.

That's one way to look at it. Sio kila mwanamke ni mtamu, mzee. Wengine hakuna ladha kwa sababu mbalimbali tu. Na aliyemsaliti jamaa ni mkewe, si mangi. Pengine hata mahusiano ya jamaa na dadake mangi hayakuwa na lengo la kukomoa.
 
Kazi ipo kwa kweli.

Its the law of the jungle, everyman for himself!
 
Hii kitu nimeiona hasa kwa wanaume ambao ni wakimya/wapole, mara nyingi huwa hawana bahati ya kupata wanawake wazuri, huwa wanawapata wale machakaramu ambao huwafanya kama wajinga. Japo jamaa huwa wanawapenda sana wake zao.

Nishashuhudia kuna wengine wanavumilia na kuamua kuacha wake zao (nimeshudia ndoa mbili), tena moja jamaa kamuachia mke kila kitu sababu mwanamke alikuwa akimsaliti na alishamfumania mara mbili. Mara ya pili jamaa akaamua kusonga mbele, mwanamke akijifanya mbabe kwamba apewe kila kitu mwana akamuachia. Sasa hivi mwana yupo vizuri mkewe anahali mbaya.

Sasa hii imetokea mwanzoni mwa mwaka huu, kuna jamaa mmoja ni Muhasibu, jamaa ni mkimya, mpole, mstaarabu, na huwa hana mambo mengi. Ana mkewe ambaye mzuri kusema kweli, nyama anazo. Jamaa kamfungulia mkewe kampuni ya mapambo na mapishi, ila yule mwanamke anamwendesha sana na kumletea dharau.

Sasa hapo mtaani kuna jamaa anaduka, huyu muuza duka kwao wamebarikiwa rangi weupe yeye na dada zake. Basi yule mwanamke akaanzisha huhusiano na muuza duka, tena hilo duka lenyewe lipo nyumba ya tatu na walipo panga. Imeenda, kuna wana wakamwambia, ila yule jamaa haku-react ile kumuonyeshea mkewe amekasirika na anajua kinacho endelea yeye na muuza duka.

Jamaa akawa mkimya, watu walitegemea labda atajibu kwa kumpiga au kumkanya yule muuza duka au kumtimua mkewe ila hakufanya hivyo. Kwahiyo watu wakahitimisha jamaa ni kafanyiwa madawa ya kienyeji. Halafu jamaa tokea amuoe mkewe miaka mitano hawajapata mtoto, bado jamaa anamvumilia pamoja na ujinga anaomfanyia.

Hii imeenda enda yule muuza duka dada yake akapaata mimba, kubanwa akasema mimba ni ya yule jamaa ambaye kaka yake anamgongea mkewe. Yaani hapa kitaa jamaa kaacha historia, kumbe kisasi chake yeye alikuwa anakitafuta kimya kimya. Mkewe alichanganyikiwa na mtaa walihama mwezi uliyofuatia wakatafuta nyumba nyingine.

Tunawapenda wanaume wawe wapole halafu wawe wakali pia
Sijui inaeleweka?😆😆😆😆😆
 
Awe mpole mkimya anahudumia familia....siyo mpole mkimya silent killer
 
Tunawapenda wanaume wawe wapole halafu wawe wakali pia
Sijui inaeleweka?😆😆😆😆😆
Najamaa ndio kaonyesha ukali wake japo hajamuumiza mwanamke wake physically ila mentally mkewe huko alipo anaumia sana sababu,yy kakaa miaka mitano bila mimba binti kaguswa kidogo mimba.

Huko sijui walipo wana hali gani.
 
Awe mpole mkimya anahudumia familia....siyo mpole mkimya silent killer
Sasa jamaa vyote anafanya mpaka kumfungulia biashara ya mapambo na chakula, sema tu mke alimuona jamaa kama mjinga fulani ndio kaamua amuonyeshe kama umalaya yy anaujua ila alikuwa anamuheshim.
 
Mmmnh. Hawa wanawake hata umfanyie nini, au hata uwaje. Atapigwa nje tu.
Iko hivyo.
 
Hawa hapa wanaosema sijui mwanaume aweje sijui ndio wanapenda.
Hamna kitu hapo.
 
Sasa jamaa vyote anafanya mpaka kumfungulia biashara ya mapambo na chakula, sema tu mke alimuona jamaa kama mjinga fulani ndio kaamua amuonyeshe kama umalaya yy anaujua ila alikuwa anamuheshim.
Kapoteza bahati
 
Kwahiyo dada wa muuza duka ndio katumiwa kama wa kulipizia kisasi?
Inawezekana ikawa imemuumiza mke wa jamaa, lakini huyo muuza duka kaathirika vipi? hajagongwa yeye, dada yake kapata utamu na mimba juu. Na yeye bado amebaki kama kidume kilichomngongea jamaa mkewe.

Ingeleta raha endapo angemchapia mangi mke wake na mimba juu.
Ogopa sana mtu anapokuwa na hasira mara nyingi huwa hana hekima na busara ktk maamuzi yake,huyo muuza duka kuumia kaumia kwani hamna mtu anayependa dada yake awe single mother, pili jamaa kishakuwa shemeji yake.


Halafu huyo muuza duka hana mke so jamaa akaamua apite na dada yake.
 
Back
Top Bottom