Kwa wadada zangu ambao waume zenu wakimya/wapole msiwafanye na kuwaona wajinga

Kwa wadada zangu ambao waume zenu wakimya/wapole msiwafanye na kuwaona wajinga

Duu jamaa hakutaka kumuumiza mkewe physically bali alitaka kumuumiza kihisia,tena huyo binti kushika mimba ni kitu ambacho kitamtesa sana mkewe,daah ila mwana..............
Mwana kaanzisha familia mpya kisa kisasi..
 
Acheni tamaa na maisha ya purukushani, kama kuoa kunahitaji purukushani zisizona msingi basi haina maana. Kwelikweli unatamani purukushani maishani na kuanzisha maswaibu bila msingi, basi ni vema nikakaa pembeni nikuangalie tu. Sikuoa mtoto bali mtu mzima mwenzangu nikijua ni mtulivu ila ghafla unataka dramas, nivema nikatafute amani yangu. Wajua majukumu yako namimi nayajua yangu ila ghafla ukajigeuza akili, ni mpumbavu tu ndio awezaye kuyatenda hayo. Nahasira ya mtu mpole na mtaratibu ni mbaya sana, maana uchungu wake ni Mungu tu ajuaye ndani ya moyo wake. Usingemuigizia upole na utaratibu kipindi cha uchumba jua kwamba kamwe asingekuoa, ila mnaigiza baadae mwaja kubadilika, hiyo ni asili ya shetani. Ishi kwa amani na watu wote. Utulivu wangu wa akili (my peace of mind) ni bora zaidi kuliko ngono, maana ndicho kitaniwezesha kutunza wazazi wangu na kulea familia yangu kwakiwango kinachostahili. Ndio maana usifikiri single moms wataisha bali itaongezeka kwakuwa wanawake hutafsiri kuwa ubabe na kurukaruka ndio uanaume, mtazidi kuwaharibia hata vizazi vijavyo. Soma sana biblia, hili jambo limezungumziwa na madhara yake kutolewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vizuri kama unasoma biblia. Kwa hiyo huyo mwanaume alichokifanya yeye ndo amepatia? Ndo katumia hekima?
 
Vizuri kama unasoma biblia. Kwa hiyo huyo mwanaume alichokifanya yeye ndo amepatia? Ndo katumia hekima?
Mimi sikusema alichokifanya ni vema, mimi nimezungumzia kitendo chenu chakupenda dramas na maswaibu pamoja na ubabe ilihali amani ni kitu chema. Pili sikumjibu mtoa mada bali nimekujibu point yako, kwanini uende mbali kuanzisha ugomvi ili mwisho wa siku mwanaume aje afanye kitu kibaya ili ukae njia sawa. It's pure stupidity!
 
kuna mzee moja alimwambia mkewe usiutumie upole wangu vibaya uvumilivu una mwisho wake
Dada zangu wengi hawajui ila wanaume ambao ni wapole wakipenda kweli kabisa, yani wanahakikisha mkewe anapata mahitaji yake yote ya msingi ila mara nyingi huwaga wana potezaga hizi bahati.

Washazoea kuzibuliwa kila mara,mitusi kila siku ,kufokeana, halafu baadae utawasikia "wanaume wote mbwa.......".
 
Hakuna upole wa kuvumilia upumbavu.

Kila kitu kina kipimo chake ukikizidisha
kinakuwa ni upumbavu.

Upole ukizidi unakuwa upumbavu .

Ukorofi ukizidi una kuwa upumbavu.

Upendo ukizidi una kuwa upumbavu.

Mwanaume kuruhusu mkeo akupande kichwani kwa kigezo cha upole huo ni upumbavu
Hakika, kila jambo inabidi like Kwa kiasi kisicholeta Madhara kwa upande wowote ule
 
Kwahiyo dada wa muuza duka ndio katumiwa kama wa kulipizia kisasi?
Inawezekana ikawa imemuumiza mke wa jamaa, lakini huyo muuza duka kaathirika vipi? hajagongwa yeye, dada yake kapata utamu na mimba juu. Na yeye bado amebaki kama kidume kilichomngongea jamaa mkewe.

Ingeleta raha endapo angemchapia mangi mke wake na mimba juu.
Kisasi kiko poa tu, hata angempa mwanamke wa nje ni poa tu coz ishu sio kumuumiza huyo jamaa anaekugongea. Hapo mpumbavu ni mke sio muuza duka.

Ukianza kudeal na anaochepuka nao utadeal nao mara ngapi kama mkeo ni kicheche.
 
Back
Top Bottom