Biashra za kwenye vitabu cjui richest nini hivyo ni tofaut kabisa na uhalisia wa bishara zetu za kibongo bongo
Biashra za bongo kufanikiwa zinambinu zake tofaut kabisa ambazo kila mtu anasiri yake na wabongo tuliwachoyo hakuna mtu mweny ujasirii wa kuziweka waziii
Na ukitaka kuamini. Angalia tu hawa wafanyabiashara wakubwa kama shabiby et anakwambia alianza kuuza karanga shule ya msingi akananunua basiii hivii inaingia akilini kwelii?
Mwingine super feo wa songea alianza ety na elfu ishirini mwingine biashra ya mkaaa