Mr Sir1
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 1,749
- 7,945
Nilianza biashara ya kuku nikiwa na kuku 150. Leo hii ninapoandika uzi huu nimemalizia kuku wawili wa mwisho kwa kuwabanika.
Ushauri pekee ninaoweza toa ni kuwa mafanikio ya mtu mmoja katika biashara moja sio mafanikio ya mwingine katika biashara hiyo hiyo.
Ushauri pekee ninaoweza toa ni kuwa mafanikio ya mtu mmoja katika biashara moja sio mafanikio ya mwingine katika biashara hiyo hiyo.