The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama huwezi kuteuliwa na watu wengi, bali unachaguliwa, iweje sasa Rais aliyechaguliwa ambaye bado hajaapishwa aitwe ‘Rais mteule’ na si ‘Rais mchaguliwa’?Unateuliwa baada ya majadiliano ya wanafamilia na kukubaliana kisha ndio wanakuchagua/kukuteua wewe,
Huwezi ukateuliwa na watu wengi bali unachaguliwa,mtu mmoja ndio anaweza kuteua coz inakua ni amri yake yeye pekee na hakuna wa kumpinga.
Kateuliwa na wanachi kwa njia ya kuraKateuliwa na nani?
Baada ya kuchaguliwa anakuwaje tena Rais mteule?Kabla ya kuchaguliwa anaweza kuwa aliteuliwa kwanza na chama chake🤔
mandarin/chineseNi kweli!
Na ukweli huo ndo huivunja hoja ya wale wasmao kwamba eti Kiswahili hakijitoshelezi na ndo maana lugha ya Kiingereza bado inatumika kwenye sehemu kama mahakama.
Swali langu kwao, ni lugha gani/ ipi hapa duniani inayojitosheleza?
Mkuu,Sasa kama huwezi kuteuliwa na watu wengi, bali unachaguliwa, iweje sasa Rais aliyechaguliwa ambaye bado hajaapishwa aitwe ‘Rais mteule’ na si ‘Rais mchaguliwa’?
Manake huyo Rais ndo kachaguliwa na watu wengi waliopiga kura kwenye uchaguzi.
Make it make sense, please.
Kateuliwa kwenye uchaguzi au kachaguliwa kwenye uchaguzi?Kateuliwa na wanachi kwa njia ya kura
Kuteua hapo maana yake ni kukubalika,so aliteuliwa/alichaguliwa na wanachi kwa njia ya kura.Kateuliwa kwenye uchaguzi au kachaguliwa kwenye uchaguzi?
Wananchi walipiga kura kuchagua au kuteua Rais?
Mkuu Nyani Ngabu, swali hili wengi tuliliona kama ni poa tu. Lakini linafikirisha. But anyway ngoja nidadavue .Kateuliwa na nani?
Sounds like you’re just guessing 😀.Kuteua hapo maana yake ni kukubalika,so aliteuliwa/alichaguliwa na wanachi kwa njia ya kura.
Hmm 🤔 🤣.Mkuu Nyani Ngabu, swali hili wengi tuliliona kama ni poa tu. Lakini linafikirisha. But anyway ngoja nidadavue .
Kwanza kabisa hufanyika uchaguzi wa kumchagua mmoja kati ya wagombeaji wa kiti hicho cha urais. Sasa katika kuhesabia matokeo uchaguzi huwa umekwisha, zitahesabiwa na mwisho kumpata mshindi wa kinyang'anyiro cha urais. Huyu mtoa sauti huyu yeye humtangaza mshindi kati ya wawili wa ambao kura zao ni za juu kuliko wengine. Kwa kawaida Rais huyu huwa anakuwa ameshinda na wakati huo akisubiri kuapishwa. Kile kitendo cha kusubiri kuapishwa huwa mtu huyu yuko katika nafasi ya uteule na baada ya kuapishwa rasmi kuwa Rais ni kukamilika rasmi kwa zoezi cha kuchaguliwa kwako kuwa Rais.
Hapo naona ni kuonyesha tu kwamba mteule ni special zaidi 🤔Baada ya kuchaguliwa anakuwaje tena Rais mteule?
Hmm okay:Hapo naona ni kuonyesha tu kwamba mteule ni special zaidi 🤔
Kateuliwa kwenye uchaguzi au kachaguliwa kwenye uchaguzi?
Wananchi walipiga kura kuchagua au kuteua Rais?
Mara nyingi raisi anakuaga anajulikana ni nani kabla hata kampeni hazijaanza...1. President-elect; kwa Kiswahili tafsiri yake ni Rais mteule.
Rais aliyechaguliwa anakuwaje rais mteule? Mteule si yule anayeteuliwa?
President - rais.
Elect-chagua/ chaguliwa.
Kwa nini huyo anayeitwa rais mteule asiitwe ‘Rais-mchaguliwa’, badala yake?
2. Nini Kiswahili cha haya maneno?
- shule
- chai
- pesa.
- redio
- shati
Equation x mteule vs Equation x mchaguliwa , mteule kuna namna ina sound🤔Kuchagua, unaweza kuchagua ata kisicho faa.
Ila kuteua, ina maana umeona anafaa.
Kwa kuwa wananchi ni wengi, na ni vigumu kusikia sauti yao katika kuteua, ndio maana wanatumia njia ya kura kuteua na si kuchagua.
Kwa mazingira hayo, tunasema wananchi wame mteua
Tatizo ni kwamba umeuliza swali huku tayari ukiwa na majibu yako.Sounds like you’re just guessing 😀.
Kwani ndipo umekurupuka usingizini, mkuu? Mbona uko nje ya mada, kana kwamba umetokea kwenye vikao vya vyama vya siasa?Wabantu hatujawahi kuwa na uchaguzi,viongozi walikuwa wanateuliwa au kusimikwa kuchagua kumekuja na democracies za magharibi...
OP & nonsense. Dhana ya elect ni uchaguzi, na wala siyo mineng'eneko unayojaribu kuuaminisha umma hapa jukwaani.Unateuliwa baada ya majadiliano ya wanafamilia na kukubaliana kisha ndio wanakuchagua/kukuteua wewe,
Huwezi ukateuliwa na watu wengi bali unachaguliwa,mtu mmoja ndio anaweza kuteua coz inakua ni amri yake yeye pekee na hakuna wa kumpinga.
Nitolee upumbavu wako hapa wewe Mjane.OP & nonsense. Dhana ya elect ni uchaguzi, na wala siyo mineng'eneko unayojaribu kuuaminisha umma hapa jukwaani.