Kwa wajuzi na wajuvi wa Kiswahili, nini Kiswahili cha haya maneno?

Kwani ndipo umekurupuka usingizini, mkuu? Mbona uko nje ya mada, kana kwamba umetokea kwenye vikao vya vyama vya siasa?
Katafune maembe mabichi yatakusaidia kupunguza maumivu ya ujauzito,naona umekuja spidi na kuanza kukashifu kila mchangiaji,

Toa ujinga wako hapa au utakipata unachokitafuta.
 
nadhani maanisha yake ilikuwa hii: ameteuliwa na Mungu ila kachaguliwa na wananchi.
kuonesha kiongozi bora wa nchi mungu ndiye anapanga ila sie tunakamilisha kwa kumchagua japo hii ni jurisprudence ya kiimani zaidi.
 
I think you’re just winging it 🤣.
 
Shule Ni neno lilitokana na Kijerumani ( Schule ) kiswahili yake yaweza kuwa Kilinge.
 
Katafune maembe mabichi yatakusaidia kupunguza maumivu ya ujauzito,naona umekuja spidi na kuanza kukashifu kila mchangiaji,

Toa ujinga wako hapa au utakipata unachokitafuta.
😹😹😹 Subirini mwaka uishe ndo mgombane jirani.
 
Bora umelijua hilo 😹
Huyo Ngabu kaamua kuwazingua makusudi, naona ukisema hivi yeye anakudaka juu kwa juu kukupinga 🤣🤣
Kazi mnayo
🤣

Halafu Lamomy wewe juzi kuna mtu alisema umepigwa ban!

Kweli ulikuwa umepigwa ban na kama ni kweli, kwa nini walikulima ban hao mods?

Usikute ulimbwatukia mtu halafu wanoko wakakuripoti kwa mods.
 
Neno sahihi ni Rais mchaguliwa
 
🤣

Halafu Lamomy wewe juzi kuna mtu alisema umepigwa ban!

Kweli ulikuwa umepigwa ban na kama ni kweli, kwa nini walikulima ban hao mods?

Usikute ulimbwatukia mtu halafu wanoko wakakuripoti kwa mods.
😹😹😹
Kuna watu wachokozi sana humu, hata nikijitahidi niwapotezee hawataki..

Kuna member mmoja nilimchachua aliingilia mambo yetu ya kike. Alivyoona kashindwa akaniripoti kwa mods wakanipa ban kule selfika. Ila sio permanently ban km yule mjinga alivyosema.

Soon narudi nione pics za auntie yangu halfcast la kisukuma 🥰
 
Auntie huyo hapo anachunga ng’ombe 🤣.

 
Ulitaka aitwe rais wa manyani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…