Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 482
kuna siku niliazima kagari (hakakuwa kangu), kabla hata sijaweka key kwenye switch kagari kakaanza kuleta milio ya ajabu ajabu. nikajua ni kagari ka china tu (wizi mtupu) , lakini kwavile ni kagari ka kuazima nikakapeleka hivyo hivyo kichina china.
heheeh keren bana! hivi wewe ukinipatia kagari kako nikaendeshe kwa rizaa yako, itakuwa umeniazima au nimeiba? , ikiwezekana niazime kweli lolMhhh!!..uliazima au uliiiba?????
hehehe dah! lolWakati huo niko dar du! Nikajua haka ka spacio nakanyaga fulllllllllllllllllll. Nakalia moto mara aaaaaaaaaaagggggggggggrrrrrrrrr nikamwambia abiria naenda kununua chipsi, kimooooooooooja
heheeh keren bana! hivi wewe ukinipatia kagari kako nikaendeshe kwa rizaa yako, itakuwa umeniazima au nimeiba? , ikiwezekana niazime kweli lol
Bahati mbaya mimi sina gari,.......lol!!!!
mmh! sasa unafikaje sokoni kariakoo? lolBahati mbaya mimi sina gari,.......lol!!!!
mmh! sasa unafikaje sokoni kariakoo? lol
Aah Keren acha uchoyo! LOL
Natembea kwa miguu, maana hata sikai mbali...lol!
nikikupatia lift utakataa? hakyanani sitoendesha gari mbio.
nikikupatia lift utakataa? hakyanani sitoendesha gari mbio.
michelle utafkuza abiria wangu. nitakuripoti abyuzi ukiendeleaShalobaro Kloro naomba gari yangu tafadhali....mzee anaiulizia.....please return that car as soon as you can...la sivyo nakuitia mgambo!!
michelle utafkuza abiria wangu. nitakuripoti abyuzi ukiendelea
ni dereva mzoefu samtaimu naendesha gari kwa mkono mmoja tu.Hahahahahahah....yaani wewe...:lol: