Kwa wakubwa tu!!!!!!!!!!!!!!!

Kwa wakubwa tu!!!!!!!!!!!!!!!

kuna siku niliazima kagari (hakakuwa kangu), kabla hata sijaweka key kwenye switch kagari kakaanza kuleta milio ya ajabu ajabu. nikajua ni kagari ka china tu (wizi mtupu) , lakini kwavile ni kagari ka kuazima nikakapeleka hivyo hivyo kichina china.

Wakati huo niko dar du! Nikajua haka ka spacio nakanyaga fulllllllllllllllllll. Nakalia moto mara aaaaaaaaaaagggggggggggrrrrrrrrr nikamwambia abiria naenda kununua chipsi, kimooooooooooja
 
I see.... Ndo nafika kwanza ngoja mai dia anikaribishe mezani, then nitarudi maana mmhhh.!!!!!!!!!
 
Wakati huo niko dar du! Nikajua haka ka spacio nakanyaga fulllllllllllllllllll. Nakalia moto mara aaaaaaaaaaagggggggggggrrrrrrrrr nikamwambia abiria naenda kununua chipsi, kimooooooooooja
hehehe dah! lol
 
lazima mlio pia uendane na jinsi vumbi linavyotimuka. Hasa wakati mawingu yamekuwa mazito na mvua zinataka kunyesha
 
nikikupatia lift utakataa? hakyanani sitoendesha gari mbio.

Shalobaro Kloro naomba gari yangu tafadhali....mzee anaiulizia.....please return that car as soon as you can...la sivyo nakuitia mgambo!!
 
Shalobaro Kloro naomba gari yangu tafadhali....mzee anaiulizia.....please return that car as soon as you can...la sivyo nakuitia mgambo!!
michelle utafkuza abiria wangu. nitakuripoti abyuzi ukiendelea
 
Yaani hii thread nimeipenda ile mbaya nasoma tu comments za watu nasikia murua jamani wewe Charger umetoa wapi hii kitu.

Nzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana tena mnooooooooooooooo

Ahh hivi nimekugongea thanks kweli let me check na kama bado faster nakupatia nzuri saaaannaa


Aaaahhh kumbe tayari nimekugongea

The Following 12 Users Say Thank You to charger For This Useful Post:

afrodenzi (Today), CPU (Today), Dena Amsi (Today), Elia (Today), Ezan (Today), klorokwini (Today), Maty (Today), Mentor (Today), mfarisayo (Today), Mr. Cool (Today), Papa Diana (Today), super thinker (Today)​
 
Back
Top Bottom