Kwa wakuu ambao mmewahi kununua magari kwa kuimport toka nje.....!!!

Kwa wakuu ambao mmewahi kununua magari kwa kuimport toka nje.....!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,128
Reaction score
21,885
Habari wakuu,
Samahani naomba kujuzwa kuhusu lifuatalo. Kuna gari nimeiona nimependezwa nayo kutoka kwenye site ya trade car view.
Screenshot_2017-08-16-22-42-17.png

Sasa nimeona hapo total cost ni kama inavoonesha hapo kwa screenshot. Sasa je, kodi itanigharimu sh ngapi wakuu? Sababu nafahamu kuna mambo ya import duty ila sijafahamu wanacharge kwa model year au according to the price uliyonunulia. Napia napenda kufahamu whole process baada ya kuselect gari kuhusu payment inakuaje maana nimeona kuna mambo ya proforma invoice. Na je nitajuaje kama jamaa sio,fraud? Or nikalipia na gari lisifike au likaja na quality tofauti na jinsi walivyoainisha? Naomba msaada wenu wakuu. Natamguliza shukrani za dhati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui huo ni mtandao gani

Lakini kwa tradecarview wana paytrade (comfirm jina) ambapo inakupa assurance. ..

Profoma watakutumia ukikubaliana nao baada ya kunegotiate watakutumia invoice then ukituma pesa thr lets say crdb (tranfer) utawatumia risiti...wao watacomfirm bank huko kwao mzigo ukiingia baada ya wiki kama 3 watakutumia document.....

Usisahau ni vyema ukalipia na inspection.... la itakusumbua huku

Usimtumie muuzaji pesa direct... anaweza hata kukubadilishia gari...mfano kluger nyeusi ukapewa nyekundu.... au ukapigwaaa

Ushuru jiandae angalau kiasi kama hicho au robo tatu ya hicho....ingawa kuna wataalam wa calculator ya tra wanaweza kukufafanulia
 
Sijui huo ni mtandao gani

Lakini kwa tradecarview wana paytrade (comfirm jina) ambapo inakupa assurance. ..

Profoma watakutumia ukikubaliana nao baada ya kunegotiate watakutumia invoice then ukituma pesa thr lets say crdb (tranfer) utawatumia risiti...wao watacomfirm bank huko kwao mzigo ukiingia baada ya wiki kama 3 watakutumia document.....

Usisahau ni vyema ukalipia na inspection.... la itakusumbua huku

Usimtumie muuzaji pesa direct... anaweza hata kukubadilishia gari...mfano kluger nyeusi ukapewa nyekundu.... au ukapigwaaa

Ushuru jiandae angalau kiasi kama hicho au robo tatu ya hicho....ingawa kuna wataalam wa calculator ya tra wanaweza kukufafanulia
Nashkuru sana mkuu umenifungua macho. Bado kidogo hapo kwenye calcs za TRA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kudadek! Ni M12.3, Hapo tenga milioni moja pembeni kwa ajili ya shipping line, storage, agency fee, nk... So andaa kama M 14 hiv ukitoa pesa ya kununulia...
upload_2017-8-17_4-52-43.png
 
Mkuu si ungejaribu kuwasiliana na waingizaji magari waliopo Dar, maana wao wanafahamu utaratibu mzima.

Kuna mmoja anaitwa Hsaan nafikiri anayo Thread yake humu inayohusu magari ya kutoka japan.
 
Mkuu si ungejaribu kuwasiliana na waingizaji magari waliopo Dar, maana wao wanafahamu utaratibu mzima.

Kuna mmoja anaitwa Hsaan nafikiri anayo Thread yake humu inayohusu magari ya kutoka japan.
Achana na watu wa Dar wanawatapeli watu kibao. Walishamzunguka mshikaji wakampiga risasi sina hamu nao.
 
Achana na watu wa Dar wanawatapeli watu kibao. Walishamzunguka mshikaji wakampiga risasi sina hamu nao.

Nimekupata.

Hivyo ni sawa awe na hiyo 12M hivi ya kuagizia na ingine ya kutolea kama 14M hivi.
 
Habari wakuu,
Samahani naomba kujuzwa kuhusu lifuatalo. Kuna gari nimeiona nimependezwa nayo kutoka kwenye site ya trade car view.View attachment 568138
Sasa nimeona hapo total cost ni kama inavoonesha hapo kwa screenshot. Sasa je, kodi itanigharimu sh ngapi wakuu? Sababu nafahamu kuna mambo ya import duty ila sijafahamu wanacharge kwa model year au according to the price uliyonunulia. Napia napenda kufahamu whole process baada ya kuselect gari kuhusu payment inakuaje maana nimeona kuna mambo ya proforma invoice. Na je nitajuaje kama jamaa sio,fraud? Or nikalipia na gari lisifike au likaja na quality tofauti na jinsi walivyoainisha? Naomba msaada wenu wakuu. Natamguliza shukrani za dhati

Sent using Jamii Forums mobile app

Jaribu pia japanesecartrade.com nao wapo vizuri kwa bei.

Japan Used Cars | Japanese Cars Exporters | Imports Vehicles from...

Na hii link wanaelekeza namna ya kuwasiliana nao, kulipia gari na wao kukusafirishia.

How to buy from JCT (www.JapaneseCarTrade.com
 
Unaweza kuachana na Tradecarview ukaagiza toka kwenye makampuni yanayoeleweka moja kwa moja maana tradecarview nao wengine wahuni wanabadilisha gari. ukiangalia sehemu imeandikwa blacklist utaona hadi wanaigeria walishatapeliwa. kampuni nzuri sana ambazo nimeshazitumia ni AUTOREC, TRUST, na BEFORWARD unakuwa na uhakika kupata kitu kizuri.
 
Nimekupata.

Hivyo ni sawa awe na hiyo 12M hivi ya kuagizia na ingine ya kutolea kama 14M hivi.
kwenye screenshot kuna FOB USD 5.. hiyo haijawekwa inspection nausafiri. harisi hiyo total inaitwa CIF- cost insurance &freight USD7.. kwahiyo ni kama TZS15/-M hadi kufika Bandarini. hapo kodi na uchakavu bado na pengine agent wa kuzungusha documents humo bandalini.
 
Kudadek! Ni M12.3, Hapo tenga milioni moja pembeni kwa ajili ya shipping line, storage, agency fee, nk... So andaa kama M 14 hiv ukitoa pesa ya kununulia...
View attachment 568273
Mkuu ushuru utazidi hapo maana kwa calculator ya tra cif ni $4819 sasa km ivoice itaonyesha cif 7300 tra watachukulia cif ya invoice km base amount kufanya calculation so ushuru utakuwa juu ya hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwenye screenshot kuna FOB USD 5.. hiyo haijawekwa inspection nausafiri. harisi hiyo total inaitwa CIF- cost insurance &freight USD7.. kwahiyo ni kama TZS15/-M hadi kufika Bandarini. hapo kodi na uchakavu bado na pengine agent wa kuzungusha documents humo bandalini.
Wakuu naona bora tu yard maana daah...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kuachana na Tradecarview ukaagiza toka kwenye makampuni yanayoeleweka moja kwa moja maana tradecarview nao wengine wahuni wanabadilisha gari. ukiangalia sehemu imeandikwa blacklist utaona hadi wanaigeria walishatapeliwa. kampuni nzuri sana ambazo nimeshazitumia ni AUTOREC, TRUST, na BEFORWARD unakuwa na uhakika kupata kitu kizuri.
Kweli kabisa hasa beforward wazuri sn wana ofice zao pia tanzania so malipo unaweza kufanya kupitia ofice yao ya tanzania ila wanaongeza $40 za ku process TT ili hela kuituma japan wao ila unakuwa safe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom