Kwa wakuu ambao mmewahi kununua magari kwa kuimport toka nje.....!!!

Kwa wakuu ambao mmewahi kununua magari kwa kuimport toka nje.....!!!

Mkuu,gari ya CIF $7,000 hizo ni 15,000,000. Sasa kodi na mambo yote inakua tena 95-110% ya gharama ya CIF. So kwa gari hiyo andaa Tsh 30,000,000/-! Ukiingia kichwa kichwa ukahisi hizo dola ni ndogo,unaweza kushindwa likaishia kupigwa mnada. Ingia kwenye TRA Motor Vehicle Valuation Calculator,ambayo iko kwenye mtandao.
Gari la million Tsh 20,000,000 mara nyingi CIF huwa kati ya $3,500-4,500 kwa uzoefu.
Kitu Cha msingi sn hiki ndg,,kwahyo gari inayo range kwnye 12 ml inatakiwa cif yake iwe ngapi? Hii itasaidia watu kucheza vzr na budget
 
Achana na watu wa Dar wanawatapeli watu kibao. Walishamzunguka mshikaji wakampiga risasi sina hamu nao.
Watu wamevurugwa na maisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani anakudhulumu halafu unamdai anakasirika tena anakuona adui anakushambulia. Yaani ukorofi tu. Aisee watoto waliolelewa kwa kupewa vitu huwa wanakuwa na mambo ya ajabu sana.
 
Back
Top Bottom